King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
Ndg wanajamii, nina habari za uhakika mkuu wa wilaya wa Dodoma ametekwa na msafara wake na wanafunzi wa chuo cha elimu, wakimtaka waziri mkuu Pinda aje na kuondoka na makamu mkuu wa chuo fedha na utawala Mlacha.
Waziri mkuu alikitembelea UDOM tangu mchana lakini mpaka sasa ameshindwa kukutana na makundi kadhaa ya wana UDOM hususa Wanataaluma ambao wapo kwenye mgomo baridi tangu J3.
Wanafunzi hao wametoa upepo msafara wa mkuu wa wilalaya na kuziba kioo cha mbele kwa mabango huku wakipiga kelele kumuomba Pinda aje.
Nitazidi kuwapasha...
Waziri mkuu alikitembelea UDOM tangu mchana lakini mpaka sasa ameshindwa kukutana na makundi kadhaa ya wana UDOM hususa Wanataaluma ambao wapo kwenye mgomo baridi tangu J3.
Wanafunzi hao wametoa upepo msafara wa mkuu wa wilalaya na kuziba kioo cha mbele kwa mabango huku wakipiga kelele kumuomba Pinda aje.
Nitazidi kuwapasha...