Salamu kwa wana jf! naomba nitoe taarifa/tathmini ya safari yangu kuanzia jumamosi 8 & 9/9/2012 toka Arusha hadi Dodoma via Singida road.
Nianze na tukio lililotokea Arusha mjini maeneo ya soko kuu ambapo ni kijiwe kikubwa sana kinachoshika nafasi kubwa ktk mustakabadhi wa siasa za Arusha.Kama inakumbukwa vyema mkuu wa mkoa wa Arusha alipigwa na kina mama na vijana kwa nyanya na karoti.
Itakumbukwa pia mkutano wa mazingira unaendelea pale AICC Arusha,hivyo mkuu wa wilaya ya Arusha alikuwa akitembelea mazingra/maeneo ya soko kuu ndipo baada ya kushuka kwenye gari katika eneo hilo ambalo ni ngome kubwa ya CHADEMA alisimama nyuma ya gari aina ya TOYOTA DYNA inayoendeshwa na kijana anayejulikana kama POISON.Kijana huyo aliingia kwenye gari na kupiga riverse akiwa na lengo la kumgonga mh. huyo,alisukumwa kwa ile gari bahati nzuri alinusuriwa na vijana alioongozana nao walimjia juu kijana poison ambaye ali(omba/ombewa) msamaha na akasamehewa lakini huu ni mpango uliopangwa kabisa
source:nilikuwepo wakati wa tukio
SAFARI yangu iliende lea kutoka Arusha kuelekea Dodoma,kilchonishangaza ni uwepo wa bendera za CHADEMA juu ya nyumba nilizobahatika kuziona kote Arusha-Manyara-Singida. Nilibahatika kuona bendera chache sana za CCM ambazo hazifiki 35 ila nilivyoingia Dodoma ndo kidogo nikaanza kuona za CCM.hii siyo sura nzuri hata kidogo kwa chama tawala ambacho kwa sasa kinaonekana kama cha upinzani.
Nilibahatika kuongea na kina mama wa Arusha kuwa ni kwa nini wanakichukia CCM walichonijibu nilishangaa nikilinganisha na majibu ya NAPE.wengi wanailaumu ccm kwa ukali wa maisha na machafuko yanayoendelea.wanasema kama chama kinachoongoza dola hakiwezi kushndwa kuthbiti fujo na kuacha mauaji yasiyo na mtuhumiwa.inawezekanaje?NAPE NA WENZAKO,KARUDISHENI IMANI YA WATU WA ARUSHA,MANYARA NA SINGIDA.kuwa mkweli,watu wakuamini.ASANTENI
Nianze na tukio lililotokea Arusha mjini maeneo ya soko kuu ambapo ni kijiwe kikubwa sana kinachoshika nafasi kubwa ktk mustakabadhi wa siasa za Arusha.Kama inakumbukwa vyema mkuu wa mkoa wa Arusha alipigwa na kina mama na vijana kwa nyanya na karoti.
Itakumbukwa pia mkutano wa mazingira unaendelea pale AICC Arusha,hivyo mkuu wa wilaya ya Arusha alikuwa akitembelea mazingra/maeneo ya soko kuu ndipo baada ya kushuka kwenye gari katika eneo hilo ambalo ni ngome kubwa ya CHADEMA alisimama nyuma ya gari aina ya TOYOTA DYNA inayoendeshwa na kijana anayejulikana kama POISON.Kijana huyo aliingia kwenye gari na kupiga riverse akiwa na lengo la kumgonga mh. huyo,alisukumwa kwa ile gari bahati nzuri alinusuriwa na vijana alioongozana nao walimjia juu kijana poison ambaye ali(omba/ombewa) msamaha na akasamehewa lakini huu ni mpango uliopangwa kabisa
source:nilikuwepo wakati wa tukio
SAFARI yangu iliende lea kutoka Arusha kuelekea Dodoma,kilchonishangaza ni uwepo wa bendera za CHADEMA juu ya nyumba nilizobahatika kuziona kote Arusha-Manyara-Singida. Nilibahatika kuona bendera chache sana za CCM ambazo hazifiki 35 ila nilivyoingia Dodoma ndo kidogo nikaanza kuona za CCM.hii siyo sura nzuri hata kidogo kwa chama tawala ambacho kwa sasa kinaonekana kama cha upinzani.
Nilibahatika kuongea na kina mama wa Arusha kuwa ni kwa nini wanakichukia CCM walichonijibu nilishangaa nikilinganisha na majibu ya NAPE.wengi wanailaumu ccm kwa ukali wa maisha na machafuko yanayoendelea.wanasema kama chama kinachoongoza dola hakiwezi kushndwa kuthbiti fujo na kuacha mauaji yasiyo na mtuhumiwa.inawezekanaje?NAPE NA WENZAKO,KARUDISHENI IMANI YA WATU WA ARUSHA,MANYARA NA SINGIDA.kuwa mkweli,watu wakuamini.ASANTENI