DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Mkuu wa Usalama Wa ndani wa Serikali Ya Libya [Libya's former internal security chief, Mansour Daw,] akiongea na CNN amesema anajuta ni kwanini amekuwa ni sehemu ya Utawala wa Gaddafi.Na anasema walimshauri Gaddafi toka mwezi wa Nne kuondoka Libya,lakini kwa Gaddafi na wanae walikataa na ilikuwa shida dakika za mwisho kiasi kuwa woga ulimzidi hata chakula ilikuwa shida kupata.
Point niliyoipenda ni pale aliposema GADDAFI kwa kukaa kwake Madarakani muda mlefu akuamini na wala hakutarajia kwamba angetoka Madarakani kwa muda wa Sekunde.Hivyo anasema anatamani kama asingekuwa hai kuyaona haya yaliyowatokea.
Point niliyoipenda ni pale aliposema GADDAFI kwa kukaa kwake Madarakani muda mlefu akuamini na wala hakutarajia kwamba angetoka Madarakani kwa muda wa Sekunde.Hivyo anasema anatamani kama asingekuwa hai kuyaona haya yaliyowatokea.