Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,835
Ilikuwa mwaka 1995 nikiwa niko kidato cha nne. Unajua tena shule ambayo nilisoma ilikuwa ya wavulana tu na isitoshe haina A-Level. Mwaka huo mimi nilikuwa kinala hapo shuleni japo shida ya maji ilikuwa inatusumbua. Kila siku asubuhi na jioni tulikuwa tukifuata maji mbali kidogo kwaajiri ya matumizi yetu na ya shule.
Basi bwana, tukawa tumefunga likizo fupi ya kama wiki moja hivi, aa mimi nikaenda nyumbani kuwasalimia wazazi, unajua wazazi walinipenda sana maana nilikuwa kichwa darasani.
Tulipofungua bwana ah! ah! ah! tulikuwa tumepata mwalimu wakike dah! alikuwa mzuri bwana, wee acha tu alikuwa anatufundisha biology na chemistry. Yaani alikuwa ametoka chuo, bado mbich kabisa amenona.
Si unajua tena pale shule! mimi nilikuwa naonekana mkubwa kiasi fulani, ndevu za kiuchokozi nazo zilikuwa zinatokeza!
Uchu wa njaa ya mda mrefu ukanipanda.
Mwalimu akiwa anafundisha darasani akili zangu zinahama kabisa, na ninajikuta nimemvua nguo kwenye mawazo yangu. Sauti yake ilinikosha sana na kunifanya niduae, pamoja na hayo kilichoniua ni pale alivyo penda kuniita na kunitaja taja darasani.
Basi bwana siku moja aliniita maabala akaniambia nimsaidie kufanya usafi. Dah siku ile niliapa hakiani lazima liwalo na liwe kama kufukuzwa shule poa. Wakati tunaendelea na usafi nikamsifia kidogo, si akatabasamu, nikachombeza neno jingine "Mwalimu usiku silali nakuwaza wewe nihurumie nisiferi mtihani" Haa akauliza kivipi? Si nikamsogelea nikajua sasa ameingia mtegoni, Nikamwambia nakutaka wewe uniliwaze. Akawaka akasema atanipeleka kwa mwalimu mkuu.
Maisha yangu yakawa matatani. Basi bwana mwalimu wa zamu akaja darasani na akasema nimuone mwalimu mkuu.
Kuingia ofsi ya mwalimu mkuu uso kwa uso na kipenzi changu mwalimu. Mkuu akamuuliza ehe Mwalimu tatizo ni nini/ akaeleza. Mwalimu mkuu akasema kumbe hilo si muelewane tu wewe si mwalimu?
Unajua baada ya hapo kilitokea nini.......
Basi bwana, tukawa tumefunga likizo fupi ya kama wiki moja hivi, aa mimi nikaenda nyumbani kuwasalimia wazazi, unajua wazazi walinipenda sana maana nilikuwa kichwa darasani.
Tulipofungua bwana ah! ah! ah! tulikuwa tumepata mwalimu wakike dah! alikuwa mzuri bwana, wee acha tu alikuwa anatufundisha biology na chemistry. Yaani alikuwa ametoka chuo, bado mbich kabisa amenona.
Si unajua tena pale shule! mimi nilikuwa naonekana mkubwa kiasi fulani, ndevu za kiuchokozi nazo zilikuwa zinatokeza!
Uchu wa njaa ya mda mrefu ukanipanda.
Mwalimu akiwa anafundisha darasani akili zangu zinahama kabisa, na ninajikuta nimemvua nguo kwenye mawazo yangu. Sauti yake ilinikosha sana na kunifanya niduae, pamoja na hayo kilichoniua ni pale alivyo penda kuniita na kunitaja taja darasani.
Basi bwana siku moja aliniita maabala akaniambia nimsaidie kufanya usafi. Dah siku ile niliapa hakiani lazima liwalo na liwe kama kufukuzwa shule poa. Wakati tunaendelea na usafi nikamsifia kidogo, si akatabasamu, nikachombeza neno jingine "Mwalimu usiku silali nakuwaza wewe nihurumie nisiferi mtihani" Haa akauliza kivipi? Si nikamsogelea nikajua sasa ameingia mtegoni, Nikamwambia nakutaka wewe uniliwaze. Akawaka akasema atanipeleka kwa mwalimu mkuu.
Maisha yangu yakawa matatani. Basi bwana mwalimu wa zamu akaja darasani na akasema nimuone mwalimu mkuu.
Kuingia ofsi ya mwalimu mkuu uso kwa uso na kipenzi changu mwalimu. Mkuu akamuuliza ehe Mwalimu tatizo ni nini/ akaeleza. Mwalimu mkuu akasema kumbe hilo si muelewane tu wewe si mwalimu?
Unajua baada ya hapo kilitokea nini.......