Mkuu wa shule alisema si muelewane tu!

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,835
Ilikuwa mwaka 1995 nikiwa niko kidato cha nne. Unajua tena shule ambayo nilisoma ilikuwa ya wavulana tu na isitoshe haina A-Level. Mwaka huo mimi nilikuwa kinala hapo shuleni japo shida ya maji ilikuwa inatusumbua. Kila siku asubuhi na jioni tulikuwa tukifuata maji mbali kidogo kwaajiri ya matumizi yetu na ya shule.

Basi bwana, tukawa tumefunga likizo fupi ya kama wiki moja hivi, aa mimi nikaenda nyumbani kuwasalimia wazazi, unajua wazazi walinipenda sana maana nilikuwa kichwa darasani.

Tulipofungua bwana ah! ah! ah! tulikuwa tumepata mwalimu wakike dah! alikuwa mzuri bwana, wee acha tu alikuwa anatufundisha biology na chemistry. Yaani alikuwa ametoka chuo, bado mbich kabisa amenona.

Si unajua tena pale shule! mimi nilikuwa naonekana mkubwa kiasi fulani, ndevu za kiuchokozi nazo zilikuwa zinatokeza!
Uchu wa njaa ya mda mrefu ukanipanda.

Mwalimu akiwa anafundisha darasani akili zangu zinahama kabisa, na ninajikuta nimemvua nguo kwenye mawazo yangu. Sauti yake ilinikosha sana na kunifanya niduae, pamoja na hayo kilichoniua ni pale alivyo penda kuniita na kunitaja taja darasani.

Basi bwana siku moja aliniita maabala akaniambia nimsaidie kufanya usafi. Dah siku ile niliapa hakiani lazima liwalo na liwe kama kufukuzwa shule poa. Wakati tunaendelea na usafi nikamsifia kidogo, si akatabasamu, nikachombeza neno jingine "Mwalimu usiku silali nakuwaza wewe nihurumie nisiferi mtihani" Haa akauliza kivipi? Si nikamsogelea nikajua sasa ameingia mtegoni, Nikamwambia nakutaka wewe uniliwaze. Akawaka akasema atanipeleka kwa mwalimu mkuu.

Maisha yangu yakawa matatani. Basi bwana mwalimu wa zamu akaja darasani na akasema nimuone mwalimu mkuu.
Kuingia ofsi ya mwalimu mkuu uso kwa uso na kipenzi changu mwalimu. Mkuu akamuuliza ehe Mwalimu tatizo ni nini/ akaeleza. Mwalimu mkuu akasema kumbe hilo si muelewane tu wewe si mwalimu?

Unajua baada ya hapo kilitokea nini.......
 
Kilichotokea unakijua mwenyewe lakini kwa kugues lazima wewe ulifeli mitihani na ulipata zero
 
Umenikumbusha mbaali kweli! Enzi za Shebby Robby kuna ticha flani alikuja PT alikuwa anasoma UDSM, Damu chngaaa kabisa, ndani ya damu mbichi!!! basi bwana akifundisha PHYSICS mimi akili yote ipo kwenye BODY CHEMISTRY, yaani we acha tu, Kama angeomba jimbo nadhani angepita bila KUPIGWA! Walimu ni wito! Physics nilipata D, ushauri kwa WAKUU WA VYUO wasiajiri maticha HANDSOME!!!!!
 
Ilikuwa mwaka 1995 nikiwa niko kidato cha nne. Unajua tena shule ambayo nilisoma ilikuwa ya wavulana tu na isitoshe haina A-Level. Mwaka huo mimi nilikuwa kinala hapo shuleni japo shida ya maji ilikuwa inatusumbua. Kila siku asubuhi na jioni tulikuwa tukifuata maji mbali kidogo kwaajiri ya matumizi yetu na ya shule.

Basi bwana, tukawa tumefunga likizo fupi ya kama wiki moja hivi, aa mimi nikaenda nyumbani kuwasalimia wazazi, unajua wazazi walinipenda sana maana nilikuwa kichwa darasani.

Tulipofungua bwana ah! ah! ah! tulikuwa tumepata mwalimu wakike dah! alikuwa mzuri bwana, wee acha tu alikuwa anatufundisha biology na chemistry. Yaani alikuwa ametoka chuo, bado mbich kabisa amenona.

Si unajua tena pale shule! mimi nilikuwa naonekana mkubwa kiasi fulani, ndevu za kiuchokozi nazo zilikuwa zinatokeza!
Uchu wa njaa ya mda mrefu ukanipanda.

Mwalimu akiwa anafundisha darasani akili zangu zinahama kabisa, na ninajikuta nimemvua nguo kwenye mawazo yangu. Sauti yake ilinikosha sana na kunifanya niduae, pamoja na hayo kilichoniua ni pale alivyo penda kuniita na kunitaja taja darasani.

Basi bwana siku moja aliniita maabala akaniambia nimsaidie kufanya usafi. Dah siku ile niliapa hakiani lazima liwalo na liwe kama kufukuzwa shule poa. Wakati tunaendelea na usafi nikamsifia kidogo, si akatabasamu, nikachombeza neno jingine "Mwalimu usiku silali nakuwaza wewe nihurumie nisiferi mtihani" Haa akauliza kivipi? Si nikamsogelea nikajua sasa ameingia mtegoni, Nikamwambia nakutaka wewe uniliwaze. Akawaka akasema atanipeleka kwa mwalimu mkuu.

Maisha yangu yakawa matatani. Basi bwana mwalimu wa zamu akaja darasani na akasema nimuone mwalimu mkuu.
Kuingia ofsi ya mwalimu mkuu uso kwa uso na kipenzi changu mwalimu. Mkuu akamuuliza ehe Mwalimu tatizo ni nini/ akaeleza. Mwalimu mkuu akasema kumbe hilo si muelewane tu wewe si mwalimu?

Unajua baada ya hapo kilitokea nini.......

Ikiwa wewe ndiye uliyekuwa "kichwa" darasani, hao miguu sijui walikuwaje?
 
Ikiwa wewe ndiye uliyekuwa "kichwa" darasani, hao miguu sijui walikuwaje?
Si unajua tena bwana mimi sio mzuri wa kiswahili!? Lakini ahsante kwa kunikosoa nitajirekebisha katika kuandika.
 
Mkuu toa kwanza boriti jichoni kwako huh!!


SnowBall umenifurahisha, sijui kwanini baadhi yetu tunashupalia hizi lugha wakati inajulikana wazi kuwa wengi wetu tumeanzia lugha za makabila yetu na kusahau Kisw na Kiingereza tumejifunzi shuleni? Mi nakumbuka wakati nasoma huko vijijini kuna watu hata kuongea kiswahili ilikuwa shida achilia mbali lugha zingine.

Ni vyema tukajitahidi kuelewa mtoa mada anataka kuleta ujumbe gani then tukauchambua huo.
 
Last edited by a moderator:
Ilikuwa mwaka 1995 nikiwa niko kidato cha nne. Unajua tena shule ambayo nilisoma ilikuwa ya wavulana tu na isitoshe haina A-Level. Mwaka huo mimi nilikuwa kinala hapo shuleni japo shida ya maji ilikuwa inatusumbua. Kila siku asubuhi na jioni tulikuwa tukifuata maji mbali kidogo kwaajiri ya matumizi yetu na ya shule.

Basi bwana, tukawa tumefunga likizo fupi ya kama wiki moja hivi, aa mimi nikaenda nyumbani kuwasalimia wazazi, unajua wazazi walinipenda sana maana nilikuwa kichwa darasani.

Tulipofungua bwana ah! ah! ah! tulikuwa tumepata mwalimu wakike dah! alikuwa mzuri bwana, wee acha tu alikuwa anatufundisha biology na chemistry. Yaani alikuwa ametoka chuo, bado mbich kabisa amenona.

Si unajua tena pale shule! mimi nilikuwa naonekana mkubwa kiasi fulani, ndevu za kiuchokozi nazo zilikuwa zinatokeza!
Uchu wa njaa ya mda mrefu ukanipanda.

Mwalimu akiwa anafundisha darasani akili zangu zinahama kabisa, na ninajikuta nimemvua nguo kwenye mawazo yangu. Sauti yake ilinikosha sana na kunifanya niduae, pamoja na hayo kilichoniua ni pale alivyo penda kuniita na kunitaja taja darasani.

Basi bwana siku moja aliniita maabala akaniambia nimsaidie kufanya usafi. Dah siku ile niliapa hakiani lazima liwalo na liwe kama kufukuzwa shule poa. Wakati tunaendelea na usafi nikamsifia kidogo, si akatabasamu, nikachombeza neno jingine "Mwalimu usiku silali nakuwaza wewe nihurumie nisiferi mtihani" Haa akauliza kivipi? Si nikamsogelea nikajua sasa ameingia mtegoni, Nikamwambia nakutaka wewe uniliwaze. Akawaka akasema atanipeleka kwa mwalimu mkuu.

Maisha yangu yakawa matatani. Basi bwana mwalimu wa zamu akaja darasani na akasema nimuone mwalimu mkuu.
Kuingia ofsi ya mwalimu mkuu uso kwa uso na kipenzi changu mwalimu. Mkuu akamuuliza ehe Mwalimu tatizo ni nini/ akaeleza. Mwalimu mkuu akasema kumbe hilo si muelewane tu wewe si mwalimu?

Unajua baada ya hapo kilitokea nini.......

ndio, ulizindukana na kugundua kuwa yoote ilikuwa ni ndoto tu!!!!!
 
Back
Top Bottom