Generalkaduma
Member
- Apr 29, 2011
- 20
- 5
Watanzania baada ya ww kusain tunasubili , je tuelewe tunasubili nini marekebisho ambayo yatatoka kwetu au...?
Watanzania baada ya ww kusain tunasubili , je tuelewe tunasubili nini marekebisho ambayo yatatoka kwetu au...?
Serikali haina pesa za kuwezesha watu wapite kupata maoni ya wananchii, nchi imechoka jamani, imefulia. wamekula mpaka mbegu.
Serikali haina pesa za kuwezesha watu wapite kupata maoni ya wananchii, nchi imechoka jamani, imefulia. wamekula mpaka mbegu.
Subiri salam za mwaka mpya..Siyo hilo tu bali ni sehemu ya mbinu-soma "NIONACHO MIMI" na Mtu wa Mungu. Nyie subirini tu; kwani kuandikia mate na wino upo!!!!!!!!!!!!!!!Sisiemu ni chama cha magamba/majoka; tangu lini majoka yakasema ukweli? Soma Biblia katika MWANZO 2:16-17 na MWANZO 3:1-14 ndiyo utajua sisiemu na siriksli yake. Na bado makubwa zaidi yanakuja we tega macho!!!!!!!!!!!!!!