View attachment 50760
Mkuu wa nchi ya Tanzania akimpa pole mtoto wa marehemu Balozi Raphael Lukindo.
mbona huwa hasimami sawasawa anasimama upande? bega moja huku lapili hukooooo.. picha zake zote hivyo
mbona huwa hasimami sawasawa anasimama upande? bega moja huku lapili hukooooo.. picha zake zote hivyo
Amshauri nae agombee "ubalozi" wamfute machozi kwa kufiwa na baba yake. Maana vyeo vya ccm vya kufutana machozi.
ukimchekea tu tutaona manyoa sasa hivi..
mbona huwa hasimami sawasawa anasimama upande? bega moja huku lapili hukooooo.. picha zake zote hivyo
Hana kazi ya kufanya, akiwa Ikulu anawaza safari za nje na kuulizia wapi kuna msiba ili awahi kwenda kutoa pole!!!
Mambo mengine yanaweza kufanywa hata na wakuu wa wilaya ama mikoa kwa niaba yake.
Manyoya kivipi mkuu embu funguka