S.N.Jilala
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 540
- 507
Kama mtu ambaye ndiyo unayehusika na mambo ya usalama, kwa nini yanatokea haya bila ya kuyazuia? Binafsi wewe pamoja na mkuu wa polisi wa Iringa ambaye anaonekana akiwepo kwenye tukio la mauaji ya Daud Mwangosi lazima muwajibike katika umma wa Watanzania.Tunajiuliza sana wananchi kwa nini fiesta inaendelea na wanakusanya watu wengi kwani wao sensa haiwahusu?Jimbo la Bububu Zanzibar wameanza kampeni wao sensa haiwahusu.Umma umekataa,na utazidi kukataa njia manazotumia kuminya vyama vingine hususanu CDM. Ushauri wangu kwa serikari ya CCM ni kujikita kupunguza umaskini kwa watanzania kwa nyanja zote na si kuua watu wasio na hatia kama lilitokea mkoani Iringa.
Watawala wetu wameanza kutafta njia za kujinusuru kwani wamebanwa na CDM uma hauwataki tena kwa mambo yao wanayoyafanya.Wewe kama mkuu wa mkoa tafadhari kumbuka kwamba "HUWEZI TENA KUWALAZIMISHA WATU WAENDE SEHEMU ISIYO REKEBISHIKA (CCM). Nelson Mandela alishawahi kunena hivi kama hapo juu kwa kusema "There is nothing like returning to a place that remains unchanged to find the ways in which yourself have altered" USHAURI WANGU WEWEW PAMOJA NA MKUU WA POLISI NI KUWAJIBIKA TU KWA KTENDO KILICHOTOKEA KWANI UMMA UMEKASIRIKA SANA NA MAUAJI YA MWANDISHI WA HABARI,NYINYI NDIYO WA KULAUMIWA KWA SABABU JESHI LIKO CHINI YENU.
Watawala wetu wameanza kutafta njia za kujinusuru kwani wamebanwa na CDM uma hauwataki tena kwa mambo yao wanayoyafanya.Wewe kama mkuu wa mkoa tafadhari kumbuka kwamba "HUWEZI TENA KUWALAZIMISHA WATU WAENDE SEHEMU ISIYO REKEBISHIKA (CCM). Nelson Mandela alishawahi kunena hivi kama hapo juu kwa kusema "There is nothing like returning to a place that remains unchanged to find the ways in which yourself have altered" USHAURI WANGU WEWEW PAMOJA NA MKUU WA POLISI NI KUWAJIBIKA TU KWA KTENDO KILICHOTOKEA KWANI UMMA UMEKASIRIKA SANA NA MAUAJI YA MWANDISHI WA HABARI,NYINYI NDIYO WA KULAUMIWA KWA SABABU JESHI LIKO CHINI YENU.