Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
huyu kakimbia kwao kule mafia, wana hamu nae huyu, anauza ardhi tu. Akikanyaga kule wanampiga bomba.
Ni nani huyo??
huyu kakimbia kwao kule mafia, wana hamu nae huyu, anauza ardhi tu. Akikanyaga kule wanampiga bomba.
Kwa mfano watu waliokwama kwenye paa za nyumba zao wanahitaji taarifa au wanahitaji chombo cha kuwafikisha sehemu kavu? Au hizi taarifa za helicopta zinamfanya mtu ghafla ajikute yuko sehemu kavu? Huyu mkuu wa mkoa kapatwa na ugonjwa gani?
Kwanza natoa pole saana, kwa wote walioathirika kwenye janga hili. Tu pamoja nanyi kwenye wakati huu mgumu. Mwenyezi Mungu ni mwema, tuzidishe kumuomba, atufanyie wepesi mambo yetu. Pili kuhusu Helikopta za uokoaji ni maalum kwa kazi hiyo, na hata rubani wake anakuwa na mafunzo maalum. Sio mradi kudandia tu kama toroli la mizigo, vinginevyo yanaweza kutokea maafa zaidi kuliko manufaa.Kwa mfano watu waliokwama kwenye paa za nyumba zao wanahitaji taarifa au wanahitaji chombo cha kuwafikisha sehemu kavu? Au hizi taarifa za helicopta zinamfanya mtu ghafla ajikute yuko sehemu kavu? Huyu mkuu wa mkoa kapatwa na ugonjwa gani?
nimemsikiliza uyu jamaa..co mtaalam ila ni mwanasiasa kama lowasa..huyu jamaa ni panzi..anaongea upupu
nimemsikiliza uyu jamaa..co mtaalam ila ni mwanasiasa kama lowasa..huyu jamaa ni panzi..anaongea upupu