Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam: Wananchi kutibiwa Hospitali Binafsi kwa Gharama za Serikali...

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Sadick amesema Serikali katika moja ya mikakati yake ya muda mfupi wa kupambana na mgomo wa Madaktari.. italipa Gharama za wananchi watakaokwenda kupata huduma kwenye hospitali binafci..

Source Channel 10..

Mytake.. Hivi wameshafanya mchanganuo na kujua gharama halisi ya kuwatibu hao wagonjwa..? Wanazo hizo hela..? Waache kuchanganya siasa na maisha ya watu..

hii ni layman solution, hizo fedha za kuwalipia wananchi ktk hospitali binafsi zingetumika kuongeza bajeti ya kupunguza sehemu ya malalamiko ya madaktari hawa.

 
Hivi bado kuna watu wenye akili timamu ndani ya jeshi la Tz...???
Wanaiona hali hii na wameridhika nayo kabisa?!
Wanajeshi wa Tanzania wana Ma Vogue ma V8 na kila aina ya anasa, au umesahau Shimbo alivyotishia watu wakubali matokeo kwenye uchaguzi wa 2010?
 
Ukipewa kazi ya nchi, lazima ujiheshimu!!!!!!!!!!!!!!

Huwezi kupewa kazi ya nchi alafu unaishi kihuni huni............
 
Na wewepiia unamatatizo kwa akili ya araka araka ni kweli unaunga mkono kauli ya uyu Mzee? Maswali yangu kwako
1. Ni Hospitali ngapi za binafsi tunazo apa nchi ambazo zinaweza kuchukua idadiyote ya wagonjwa?
2. Atakama Serekali inapesa za kulipia watu wote unadahani kutakuwa na madaktari wa kutosha kuwaudumia?

Tumia busara unapochangia mada kamaizi, is serious issue and usichukulie ki ushabiki.
 
Napata tabu kuamini tuna ongozwa na mbumbu watupu ila niivo.ivi wana fikiri madkitari wote nivichaa wagome bila sababu.
 
Hata Pinda nadhani hatofautiana sana na serikali yake kwa kupenda rudia makosa na kuyasisitiza hata pale wenye nchi wanapopotezea, ukali wake aliouonyesha mara ya kwanza baadaye akaja bembeleza hawa jamaa ila wakatolewa sadaka wengine, akawa amesave ila naona anarudia tena huku anasisitiza.This time wakishindwa kuwa smart itabidi yeye ang`ang`aniwe na watanzania wengi zaidi ya wanaharakati.
Kitamshuka mara:
- Baadhi ya madaktari wakiamua kubadili kazi,siku hizi kuna watu wanabadili fani sana.
-Jamaa zetu Kenya huwa ni scavenger wa kila kitu toka bongo:kuanzia vitunguu, mbao, nyama, mchele, mahindi, utalii, tanzanite...na mabibi za tz kenya wana mvuto swaana...this time watawachukua madaktari wetu..bila kusema wakija amka wanaambiwa ""..tulidhani protocal imekwisha anza kwa kazi..".
-Kuna ajira zinazowavutia hadi wazungu kuamua kimbilia africa...google mozambique,Angola,Rwanda, Juba, Bostwana wanavyotoa ajira.Wakati wabongo wanakimbilia ulaya wazungu wanakwenda Angola, na Mozambique.
-Akija shtukia Dar hakuna hospitali binafsi za kutosha beba mzigo mwananyamala/amana/muhimbili hata kama zitapewa dili.
-Madaktari wa kizazi cha bongo fleva wana part time jobs zinazowalipa kuliko ajira uchwara za governement.Lab kibao mjini zinawaingizia watu hela kuliko.
-Huko Binafsi kwenyewe kuna matatizo, na uwezekano wa madaktari mwenda tumika huko ni mdogo, kuna madaktari wa kizazi cha kale,hostile kwa vijana na wana ukabila etc hata km ni za taasisi za dini.So vijana hawatakuwepo na huko.fainally nazo zitaishiwa baada ya hao wazee wao kupigwa chini kwa umri.wengi wame extend contracts sana na ni wazee hadi tiba zao hazina ubunifu tena.

So unless Pinda kajipanga anaweza bounce tena, na this time akibounce atabounce na serikali yote.Balaa linaweza waandama hadi wakajikuta wanakumbana na chaguzi za kutosha na zote bahati ikawa km ya Yanga na Timu za Misri na mwishowe wakajikuta Bunge limekuwa la upinzani kabla ya 2015.Serikali imekuwa HOUSE OF CARD.Very unstable and anything can be a result.
..Na imagine CDM wakipata hilo zari ,sijui wataifanya mahakama ya Kesi za Rwanda ,mahakama ya mahasimu wao CCM..?No its just a Dream.
 
Hahahahaha
Serikali kama imeamua kukaa kimya, basi ikae kimya tu!
Hizi kejeli iziache kwakweli... ituache tu tufe kama ambavyo tumekuwa tunakufa sikuzote!!
 
..hivi vyeo vya ukuu wa mikoa na ukuu wa wilaya hivi!maana waweza kuibua mtu popote pale, hakuna wa kuhoji!Ole wao siku watakapopata madaraka wazalendo wa kweli na kutafakari kwa kina kuhusu vyeo hivi-na kuvifutilia mbali !
 
kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia mgomo wa madaktari

Na mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia Madaktari kudharauliwa na Waziri wa Afya kwa kauli zake mbovu mbovu mfano ile aliyoitoa last time. Nanukuu

Mimi nawajibika kwa Wakulima na Wafugaji wa Ulanga Magharibi. Madaktari hawanihusu.
 
Huyu Meck asitake kututia hasira tukamuumbua na ukwe. Wake kw Mh Mwinyi akapewa zawadi ya ukuu wake wilaya ahdi mkoa...baada kuoa kwa boss wake akiwa dereva!!!!!!!hana anlojua anajikomba anasubiri maafa akusanye misaada zaidi hapo hana upeo hata........

Kutoka udereva mpaka mkuu wa mkoa? tena commercial city?
 
Mama yangu!Kweli wale wakuu pale wizara ya afya wanaotakiwa kuondoka nimuhimu!Naona dalili zote zamadaktari kufukuzwa kazi kuanzia kesho!
 
unafikiri kila mtu atatibiwa thubutuuuuu watatibiwa wenyewe tu kwa mfumo huu.......
 
Back
Top Bottom