Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam: Wananchi kutibiwa Hospitali Binafsi kwa Gharama za Serikali...

Hakuna ubishi hakutumia akili yake labda amelazimishwa aseme hivyo naye bila hata kuchanganua mambo kaingia mkenge na kuropoka. Kweli nchi hii inahitaji mapinduzi ya kimaadili na kifikra hawa watu watatuangamiza kwa mawazo yao potofu. Hivi inawezekana kweli serikali inahela za kuwalipia watz wanaougua kwenye hosp binafsi yaani kwa kushindwa kuwatimua waziri na naibu wake na watatumia stail gani maana watz hata bima ya afya hatuna sasa sijui kutakuwa na wenyeviti wa mitaa kunakili gharama then baada ya mgomo serikali ilipe au ndo kiini macho. Kwa mawazo yake huyu jamaa hastahili kuishi hata kidogo
 
Hii ni chance pekee kwa sie walala hoi twende tukatibiwe hospital binafsi jama. Shime shime wandugu tupelekeni ndugu zetu huko at least waufaidi mgomo wa madaktari.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Sadick amesema Serikali katika moja ya mikakati yake ya muda mfupi wa kupambana na mgomo wa Madaktari.. italipa Gharama za wananchi watakaokwenda kupata huduma kwenye hospitali binafci..

Source Channel 10..

Mytake.. Hivi wameshafanya mchanganuo na kujua gharama halisi ya kuwatibu hao wagonjwa..? Wanazo hizo hela..? Waache kuchanganya siasa na maisha ya watu..

Rai kwa wamiliki wa hospital binafsi msikubali kutibu watu kwa mkopo, kila mgonjwa atakaekuja kwenye hospitali zenu aje na hela mkononi la sivyo mjue mmeliwa. Serikali haina hela ya kuwalipa imefilisika ile mbaya. Take heed to my words mkijifanya vichwa vya nazi basi mjue mmeliwa na serikali ya magamba.
 
interesting.....i wonder if he thought deeply before saying what he said....
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Sadick amesema Serikali katika moja ya mikakati yake ya muda mfupi wa kupambana na mgomo wa Madaktari.. italipa Gharama za wananchi watakaokwenda kupata huduma kwenye hospitali binafci..

Source Channel 10..

Mytake.. Hivi wameshafanya mchanganuo na kujua gharama halisi ya kuwatibu hao wagonjwa..? Wanazo hizo hela..? Waache kuchanganya siasa na maisha ya watu..

Rai kwa wamiliki wa hospital binafsi msikubali kutibu watu kwa mkopo, kila mgonjwa atakaekuja kwenye hospitali zenu aje na hela mkononi la sivyo mjue mmeliwa. Serikali haina hela ya kuwalipa imefilisika ile mbaya. Take heed to my words mkijifanya vichwa vya nazi basi mjue mmeliwa na serikali ya magamba.
 
mmmh ccm hakuna mwenye busara:embarassed2:
:yawn:

ni muendelezo wa majibu mepesi kwenye hoja ngumu. Jiulize swali nani atakuwepo kulipia huduma hizo kila hospitali? Watawatambuaje wahitaji na wasio wahitaji? Kumbe fedha kwa ajili ya huduma bure kwa kila mtanzania zipo!
 
Hawana hzo pesa hizo ni siasa jamani hv ukiwa kiongozi unakurupuka tu kuongea bila hata kufkiria nani atanisikia..
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Sadick amesema Serikali katika moja ya mikakati yake ya muda mfupi wa kupambana na mgomo wa Madaktari.. italipa Gharama za wananchi watakaokwenda kupata huduma kwenye hospitali binafci..

Source Channel 10..

Mytake.. Hivi wameshafanya mchanganuo na kujua gharama halisi ya kuwatibu hao wagonjwa..? Wanazo hizo hela..? Waache kuchanganya siasa na maisha ya watu..
Ama kweli panya wengi hawachimbi shimo na miruzi mingi humpoteza mbwa, nchi imejaa matamko kila kukicha mpaka sasa hatuelew tena ni tamko gani tulifuate. Yaan kila kiongoz anaongea lake hata hatujui tena lipi ni la maana na lipi ni la kiupppuuuz..

Mkuu wa mkoa haya umetumwa na JK au umeamua nawe kutoa tamko kwa kuwa unawadhifa???Mkuu wa Mkoa hayo ni matumizi rational ya kodi zetu???Hivi hii serikali tumetoka nayo wap mungu wangu???Matumiz hayo ni feasible kweli au ni ufisadi mwingine tena huo, kama hiyo hela ya kuchezea ipo c mmalize matatizo ya maDK???????Wananchi kwann tusijitokeze tukawaunge madaktari mkono ili kama mbwahi iwe mbwahi bwana!!au tunasubiri filimbi kuitwa Tahrir Square??Wenzetu walianza kiutani utan kama hivi, JK lete mzaha tu!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Sadick amesema Serikali katika moja ya mikakati yake ya muda mfupi wa kupambana na mgomo wa Madaktari.. italipa Gharama za wananchi watakaokwenda kupata huduma kwenye hospitali binafci..

Source Channel 10..

Mytake.. Hivi wameshafanya mchanganuo na kujua gharama halisi ya kuwatibu hao wagonjwa..? Wanazo hizo hela..? Waache kuchanganya siasa na maisha ya watu..

.
Hizo hospital binafsi zikikubali kutibu kwa mkopo ati mlipaji ni serikali, yatawapata yale yaliowapata wazee wa east Africa.
Hata hivyo hizo hospitali binafsi madaktari wake si ndio wale wale waliogoma serikaleni? Yaani serikali itakuwa imewapa hawa ma-dr promo la nguvu.
.
 
Huyu Meck asitake kututia hasira tukamuumbua na ukwe. Wake kw Mh Mwinyi akapewa zawadi ya ukuu wake wilaya ahdi mkoa...baada kuoa kwa boss wake akiwa dereva!!!!!!!hana anlojua anajikomba anasubiri maafa akusanye misaada zaidi hapo hana upeo hata........
 
Mama mjamzito akienda aga Khan kujifungua tena ikahitajika opereshen ni sh. mil mbili na ushee.
consultation na vipimo vya harakaharaka vya emergence si chini ya laki tatu.
nadhani wanaweza.

Ukimwangalia yule mzee usoni unaona ana akili kweli? Ukada ndo umemweka dar! Kama wapo tayari kuwalipia watu wa private si wakamilishe madai ya madaktari kisha watoe huduma bora kama private?
 
Rai kwa wamiliki wa hospital binafsi msikubali kutibu watu kwa mkopo, kila mgonjwa atakaekuja kwenye hospitali zenu aje na hela mkononi la sivyo mjue mmeliwa. Serikali haina hela ya kuwalipa imefilisika ile mbaya. Take heed to my words mkijifanya vichwa vya nazi basi mjue mmeliwa na serikali ya magamba.

Sasa kama mnajua kwamba serikali haina pesa, kwanini mnadai mishahara mikubwa na mambo mengine mengi tu?
 
aliwakashif waandishi wa habari gongolamboto baada yakumwambia mwananchi mmoja aliekua anaongea na waandishi hao kua,achana nao hao hawatokusaidia lolote,since dat time ndio nikajua kua huyu mzee ni juha kalulu.hivi hakuna mwenye cv yake aimwage hapa jamvini ,nyambafff kabisa.
 
Back
Top Bottom