MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
Nchi haitatawalikahalafu utasikia wanakanusha
Nchi haitatawalikahalafu utasikia wanakanusha
Duhh, hii Kali! Wazibua vyoo watamtupia nini?
Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.
Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.
Hawana akili hao. Inakuaje kiongozi anayekuongoza udiriki kumrushia nyanya, unajaribu kumpiga.
Hao ni mateka wa kisias wa Lema, hawana jipya.
Lema badala awakemee wananchi wanaofanya uhuni kwa kumpiga kiongozi wao, yeye anawa pongeza. Huu ni ujinga kushabikia vurugu za aina yoyote ile.
Lema anapaswa kuwakemea wananchi wa Arusha kwa kitendo walichofanya, si cha kiungwana kabisa.
Duhh, hii Kali! Wazibua vyoo watamtupia nini?
Hii habari nina mashaka nayo.
Kama Dc kule Igunga watu wameshitakiwa? vp huyo Rc ?
Nina wsi wasi na mtoa mada.
kwa kweli nimeamini tunaweza.
Hii habari nina mashaka nayo.
Inawezekana kweli Mkuu wa Mkoa ambaye ndio Mwenyekiti wa baraza la ulinzi na usalama mkoa akatupiwa nyanya na wafanyabiashara ndogo ndogo? Je patakalika hapo?
Kama Dc kule Igunga watu wameshitakiwa? vp huyo Rc ?
Nina wsi wasi na mtoa mada.