Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.
Na kabla ya viboko unammwagia maji baridi ndoo nane kubwa alafu ndo viboko visivyo na idadi maalumu vinafuata.Dawa ya MLEVI ni kumchapa viboko!
Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.
Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.
nami nimeaminiKWELI WANAWAKE WAKIAMUA WANAWEZA!i
jakaaya m.rip.sho kikweetesi kuna mwingine alipopolewa na mawe mbeya ..hivi anaitwa nani?
si kuna mwingine alipopolewa na mawe mbeya ..hivi anaitwa nani?
Tanzania inahitaji ukombozi wa fikra, na Mkuu wa Mkoa wa Arusha kwa kuwa ni Mjinga anatakiwa akombolewe kabla hajawa Mpumbavu.
Kumkomboa Mpumbavu kunahitaji kazi ya ziada kulinganisha na Mjinga!
ipo siku wajenzi watamtupia matofali, mafundi watamtupia spana, walimu watamtupia chaki,wakulima watamtupia majembe na wa mwisho ni wasio na chochote mikononi wataokota mawe na kumtupia na ndo hapo atagundua misingi ya haki za binadamu inaumuhumu kuzingatiwa na kuheshimiwa na dola.
Ndo maana ya nguvu za rais,badilisheni katiba.Yani (RC) awe na escot! Mbunge aliyechaguliwa kwa kura 56,000 akose escot halafu mjinga mmoja aliyeteuliwa na kichwa cha fisadi apewe?? Kweli ikitokea RC kupewa escot hata nami naenda kudai ulinzi wa nyumbani kwangu.
Ktk hali isiyokuwa yakwaida, mkuu huyo wa mkoa alikumbana na dhahma baada ya kutaka kuongea na watu wa sokoni, wakinamama walinyanyua nyanya zao na karoti na kumpiga nazo na yeye kukimbia.
Vyombo vya hanari vyawasiliana na Mh Lema kuhusu tukio hilo, Lema asema, wananchi wameamua kuwasilisha hisia zao kwa viongozi wanafki na amewataka wananchi kutomwogopa mtu yeyote yule, na anaunga harakati zao za kudai haki.