Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
Mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo amejitwisha zigo la kumkampenia mgombea wa CCM Sioyi Sumari lakini watu wanajiuliza mkuu huyo wa mkoa ndiye alikuwa wa kwanza kumkataa siyo raia sambamba na kuwaita takukuru kuwa anagawa rushwa, hivi sasa ofisi yake imefungwa watu hawati huduma je tumweleweje????????????????????????????