Mkuu wa Mkoa Mtwara atunukiwa Nishani na Papa Benedict XVII

Naye mke wa Mkuu huyo wa Mkoa, Janet Simbakalia alisema wakati mume wake alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kutoka kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), walijua ni kumkomoa, lakini Mungu ameonesha shani yake kwa yale yote aliyofanya alipokuwa Kigoma.
Kitu ambacho nilikuwa sifahamu ni kwamba mtu akihamishiwa mkoani Kigoma anakuwa amekomolewa!

Nadhani sasa mama Kalia atakuwa amefurahi mumewe kuhamishwa toka Kigoma.

Hoja ya mke wake hapa ni kwamba kuwa Mkurugenzi wa Taifa NDC ni cheo kikubwa zaidi kuliko kurudia chini kuwa mkuu wa Mkoa ambapo mamlaka yanaishia mkoani tu wakati alikuwa na majukumu ya kitaifa.
 
Hawa wenzetu huwa wanafanya kazi mbili. Kwanza kanisa halafu serikali na wananchi baadaye. Jamaa amepewa tuzo kutokana na kutekeleza matakwa ya kanisa ktk shughuli zake za kila siku za serikali. Kwa kusimamia mambo ya kanisa akiwa kama mtumishi wa serikali wakubwa huko Vatican wameona bora wamtunuku tuzo ili kuwatia moyo wakereketwa wengine wa kanisa kuendeleza hiyo ajenda. Kwa mwenendo huu Waislamu andikeni maumivu zaidi.

Kutunukiwa heshima hiyo kwako unaona ni kosa, je wanaotunukiwa heshima ya Alhaji na kuitwa Alhaji wawapo katika shughuli zisizohusu uulhaji inapokelewaje?
 
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa XVI amemtunuku nishani ya Mtakatifu Gregory Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia kwa utumishi uliotukuka kwa kanisa na jamii. Nishani hiyo ilikabidhiwa kwa Simbakalia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa karibu miaka sita, na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Protas Rugambwa kwa niaba ya Papa katika misa ya Ibada ya Krismasi iliyofanyika kwenye Kanisa la Bikira Maria mshindaji mjini Kigoma.

Simbakalia alitiririkwa na machozi wakati akikabidhiwa nishani hiyo kutokana na kutoamini kile anachokiona hali iliyofanya kanisa kuzizima kwa hali hiyo katika tuzo hiyo ambayo ni ya kwanza kutolewa kwa muumini wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma tangu kuanzishwa kwake. Akikabidhi medali na hati ya nishani hiyo, Askofu Rugambwa alisema imetolewa katika kuunga mkono Jubilee ya miaka 50 ya Tanzania Bara ambayo kanisa iliona haina budi kushiriki kwa hali na mali kwa kufanya kitu ambacho kitakumbukwa kwa miaka 50 mingine.

Askofu Rugambwa alisema Simbakalia kama kiongozi wa kijamii, alitumia wakati wake kulitumikia kanisa na kuonesha mchango wake na utumishi wake kwa kanisa bila kujali mamlaka na madaraka aliyonayo. Akisoma hati hiyo, Katibu wa Kanisa hilo Jimbo la Kigoma, Kiliani Teleba alisema anamtangaza Joseph Simbakalia kutoka Jimbo la Kigoma kuwa shujaa wa ukoo bora wa Mtakatifu Gregory Mkuu wa Daraja la Kiraia na kumpatia uwezo wa kutumia haki zote zinazotokana na hadhi hiyo. Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa.

Alisema amekaa Kigoma kwa zaidi ya miaka mitano, anaamini amefanya kile alichotumwa kuja kufanya na nishani hiyo ni heshima kwake wananchi wa Mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa jumla kwa heshima waliyopewa ndiyo maana Mungu ameonesha uwezo wake kwa nishani hiyo na heshima aliyopewa. Naye mke wa Mkuu huyo wa Mkoa, Janet Simbakalia alisema wakati mume wake alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kutoka kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), walijua ni kumkomoa, lakini Mungu ameonesha shani yake kwa yale yote aliyofanya alipokuwa Kigoma.

Habari Leo

Kikwete aliulizwa kwa zile nishani alizotoa.

Suala langu kwanini Papa asimpe nishani hiyo Dr Slaa? kwani naye kafanya mengi sana ikiwamo na kuibua ufisadi wa Meremeta, Epa na mingine mingi.

Kwanini Simbakalia na sio Dr Slaa?

 
Kutunukiwa heshima hiyo kwako unaona ni kosa, je wanaotunukiwa heshima ya Alhaji na kuitwa Alhaji wawapo katika shughuli zisizohusu uulhaji inapokelewaje?

Ualhaji ni cheo anachopata mtu kwa kutekeleza ibada ya Hija kule Makka na wala hakitunikiwi kwa mtu kutokana na mchango wake kwa Uislam. Uislam hauna utaratibu wa kutoa tuzo kwa watu. Tatizo la ndugu zetu ni kwamba hawajui kutofautisha kati ya kazi za serikali na kanisa. Wengi wao humtanguliza Pengo kwanza halafu serikali na jamii ndio vinafuata. Ndio maana hujuma na utendaji unaoegemea udini serikalini ni mwingi kwa sababu watendaji wengi wa serikali hupokea amri kutoka kwa Pengo na Vatican. Hili litawauma lkn ndio ukweli wenyewe.
 
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa XVI amemtunuku nishani ya Mtakatifu Gregory Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia kwa utumishi uliotukuka kwa kanisa na jamii. Nishani hiyo ilikabidhiwa kwa Simbakalia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa karibu miaka sita, na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Protas Rugambwa kwa niaba ya Papa katika misa ya Ibada ya Krismasi iliyofanyika kwenye Kanisa la Bikira Maria mshindaji mjini Kigoma.

Simbakalia alitiririkwa na machozi wakati akikabidhiwa nishani hiyo kutokana na kutoamini kile anachokiona hali iliyofanya kanisa kuzizima kwa hali hiyo katika tuzo hiyo ambayo ni ya kwanza kutolewa kwa muumini wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma tangu kuanzishwa kwake. Akikabidhi medali na hati ya nishani hiyo, Askofu Rugambwa alisema imetolewa katika kuunga mkono Jubilee ya miaka 50 ya Tanzania Bara ambayo kanisa iliona haina budi kushiriki kwa hali na mali kwa kufanya kitu ambacho kitakumbukwa kwa miaka 50 mingine.

Askofu Rugambwa alisema Simbakalia kama kiongozi wa kijamii, alitumia wakati wake kulitumikia kanisa na kuonesha mchango wake na utumishi wake kwa kanisa bila kujali mamlaka na madaraka aliyonayo. Akisoma hati hiyo, Katibu wa Kanisa hilo Jimbo la Kigoma, Kiliani Teleba alisema anamtangaza Joseph Simbakalia kutoka Jimbo la Kigoma kuwa shujaa wa ukoo bora wa Mtakatifu Gregory Mkuu wa Daraja la Kiraia na kumpatia uwezo wa kutumia haki zote zinazotokana na hadhi hiyo. Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa.

Alisema amekaa Kigoma kwa zaidi ya miaka mitano, anaamini amefanya kile alichotumwa kuja kufanya na nishani hiyo ni heshima kwake wananchi wa Mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa jumla kwa heshima waliyopewa ndiyo maana Mungu ameonesha uwezo wake kwa nishani hiyo na heshima aliyopewa. Naye mke wa Mkuu huyo wa Mkoa, Janet Simbakalia alisema wakati mume wake alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kutoka kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), walijua ni kumkomoa, lakini Mungu ameonesha shani yake kwa yale yote aliyofanya alipokuwa Kigoma.

Habari Leo

Ohoo!Kwa hiyo sasa mkuu atakuwa ukoo wa gregory?
Just joking....
hongera za kwake!
 
Dah, hongera mkuu kwa hiyo tuzo. Kiukweli jamaa alikuwa mchapakazi serikalini na pia alikuwa muumini mzuri tena wa kuigwa na wengine kanisani. Hata tulipopata taarifa ya kuwa jamaa kaamishwa waumini walipata mfadhaiko kidogo.
Lakini concern yangu hapa ni kufaham kwa nini waTZ wakiambiwa kuna ishu ya udini inayotishia umoja na mshikamano wetu wanapinga kwa nguvu zote?, Wakati hoja zinazotolewa na wabongo kwa kiasi kikubwa zina tu'elements' twa udiniudini?, mfano mzuri ni mtililiko wa hoja ktk hii thread.
 
Huyu jamaa anayekazana kwamba aliwajibika kwa kanisa kuliko selikali nadhani uwelewa wake ni mdogo sana.Mtu akiwajibika kwa kanisa ataku ni nikiongozi mzuri maana hatoiba,hatozini hatafanya ufisadi wa aina yoyote pamoja na kutega kazi. sasa kama kanisa linaweza kutengeneza mtu akawa mzuri namna ile kunashida ani kumpongeza
 
Kikwete aliulizwa kwa zile nishani alizotoa.
Suala langu kwanini Papa asimpe nishani hiyo Dr Slaa? kwani naye kafanya mengi sana ikiwamo na kuibua ufisadi wa Meremeta, Epa na mingine mingi.mKwanini Simbakalia na sio Dr Slaa?

dudusHa ha ha ha ha! Hivi ingekuwaje kama Dr. Slaa angekuwa ndiye mtunukiwa? Kweli Mungu ana makusudi yake, tena mazuri sana.

Unachotakiwa kujadili kupata nishani hiyo aliyetajwa, hili la kumvaa Dr. Slaa limetoka wapi wakati kuna malaki ya Waumini ambao hawajatunukiwa?
Wewe kama Mungu amekutunuku kuzaliwa kuwa na makengeza utauliza kwa nini kaka yako Mungu hakumtunuku kuzaliwa Makengeza kama wewe?

Kama mambo haya huyaelewe au huelewi uombe kueleweshwa na wanaofahamu au bora kunyamaa kuliko kuchangi jambo usilolijua maana hao wanaofanya hivyo wana utaratibu wao katika shughuli zao za utume. Na huo si mpango wa mtu fulani bali ni ufunulio ambao hupitia kwa njia ya watumishi wenye mamlaka katika madhehebu yao. Natumaini mmenielewe, tuchangie tu hayo mazuri ambayo huyu mkuu wa mkoa amefkuwa mfano kwa jamii kwa kufanya kazi kwa ufanisi kisiasa na bila kuweka kando imani yake.

Bahati nzuri habari hii imetokea kwenye gazeti la Habari leo vinginevyo wangesema magazeti mengine yamechakachua.
 
Ni ukweli usiofichika, huyu mgalatia ametimiza malengo yake alopewa na kanisa katika kuhakikisha ustawi mfumo kristo nchini. Alianza kazi hiyo akiwa NDC,kwa kuwapendelea na kuwapa ajira wakristo, hususani wakatoliki wenzake, na kusaidia kanisa kwa nguvu zake zote, huku akiwakandamiza waislam na uislam, akaendeleza mpango huo akiwa mkuu wa mkoa kigoma. Hivi ndivyo kanisa katoliki linavyofanya kazi Tanzania.

Karibuni watampa UTAKATIFU mkatoliki Julius Kambaragae Nyerere nae kwa kufanikisha kwa ustadi mkubwa.....
 
Ni ukweli usiofichika, huyu mgalatia ametimiza malengo yake alopewa na kanisa katika kuhakikisha ustawi mfumo kristo nchini. Alianza kazi hiyo akiwa NDC,kwa kuwapendelea na kuwapa ajira wakristo, hususani wakatoliki wenzake, na kusaidia kanisa kwa nguvu zake zote, huku akiwakandamiza waislam na uislam, akaendeleza mpango huo akiwa mkuu wa mkoa kigoma. Hivi ndivyo kanisa katoliki linavyofanya kazi Tanzania.

Karibuni watampa UTAKATIFU mkatoliki Julius Kambaragae Nyerere nae kwa kufanikisha kwa ustadi mkubwa kuweka mfumo kristo Tanzania.

Waislam tayari wameshaliona hilo, muda wa mapambano ni sasa! Kiongozi yoyote wa serkali atakefanya kazi zake kwa kupendelea mfumo wa kikristo, bila kufuata usawa basi kichwa chake halali ya waislam!
"Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza"
Kweli vichwa vingine havilewi hadi Vigongwe kwanza na nyundo,ndo vinashtuka"
 
Nadhani kama una ushahidi ni bora ukaweka hapa watu wakajua badala ya kutoa tuhuma za leja leja hapa

Ni ukweli usiofichika, huyu mgalatia ametimiza malengo yake alopewa na kanisa katika kuhakikisha ustawi mfumo kristo nchini. Alianza kazi hiyo akiwa NDC,kwa kuwapendelea na kuwapa ajira wakristo, hususani wakatoliki wenzake, na kusaidia kanisa kwa nguvu zake zote, huku akiwakandamiza waislam na uislam, akaendeleza mpango huo akiwa mkuu wa mkoa kigoma. Hivi ndivyo kanisa katoliki linavyofanya kazi Tanzania.

Karibuni watampa UTAKATIFU mkatoliki Julius Kambaragae Nyerere nae kwa kufanikisha kwa ustadi mkubwa kuweka mfumo kristo Tanzania.

Waislam tayari wameshaliona hilo, muda wa mapambano ni sasa! Kiongozi yoyote wa serkali atakefanya kazi zake kwa kupendelea mfumo wa kikristo, bila kufuata usawa basi kichwa chake halali ya waislam!
 
Kikwete aliulizwa kwa zile nishani alizotoa.

Suala langu kwanini Papa asimpe nishani hiyo Dr Slaa? kwani naye kafanya mengi sana ikiwamo na kuibua ufisadi wa Meremeta, Epa na mingine mingi.

Kwanini Simbakalia na sio Dr Slaa?


Dr. Slaa ni mzinzi aliyetukuka. ndiyo maana alitimuliwa u~padre. Hawezi kupewa nishani na wala hajulikani popote kwenye ngazi za kanisa.
 
huyu papa atakua nccr au chadema.... Kwanini asione wakuu wote wa mikoa, au basi ni bora angemteua pinda kabisa kwa nishani. Ye kachagua mkoa wenue wabunge wapinzani wengi

mapapa wengine sijui vp... Bora hata papa msofe hiwa anawacheki ccm aisee
 
Kikwete aliulizwa kwa zile nishani alizotoa.

Suala langu kwanini Papa asimpe nishani hiyo Dr Slaa? kwani naye kafanya mengi sana ikiwamo na kuibua ufisadi wa Meremeta, Epa na mingine mingi.

Kwanini Simbakalia na sio Dr Slaa?

swali zuri sana aisee... Hawa jamaa wanapendelea sana, ni bora hata wangempa diria au balozi ramia.. Kwani wale ni waley wazuri zaidi tena wao walihali sanavijana hadi kuwapa ajira za kuuza unga
 
Papa Benedict amtunuku nishani Simbakalia
Imeandikwa na Fadhili Abdallah, Kigoma; Tarehe: 26th December 2011



KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict wa XVI amemtunuku nishani ya Mtakatifu Gregory Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia kwa utumishi uliotukuka kwa kanisa na jamii.

Nishani hiyo ilikabidhiwa kwa Simbakalia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa karibu miaka sita, na Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Protas Rugambwa kwa niaba ya Papa katika misa ya Ibada ya Krismasi iliyofanyika kwenye Kanisa la Bikira Maria mshindaji mjini Kigoma.

Simbakalia alitiririkwa na machozi wakati akikabidhiwa nishani hiyo kutokana na kutoamini kile anachokiona hali iliyofanya kanisa kuzizima kwa hali hiyo katika tuzo hiyo ambayo ni ya kwanza kutolewa kwa muumini wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma tangu kuanzishwa kwake.

Akikabidhi medali na hati ya nishani hiyo, Askofu Rugambwa alisema imetolewa katika kuunga mkono Jubilee ya miaka 50 ya Tanzania Bara ambayo kanisa iliona haina budi kushiriki kwa hali na mali kwa kufanya kitu ambacho kitakumbukwa kwa miaka 50 mingine.

Askofu Rugambwa alisema Simbakalia kama kiongozi wa kijamii, alitumia wakati wake kulitumikia kanisa na kuonesha mchango wake na utumishi wake kwa kanisa bila kujali mamlaka na madaraka aliyonayo.

Akisoma hati hiyo, Katibu wa Kanisa hilo Jimbo la Kigoma, Kiliani Teleba alisema anamtangaza Joseph Simbakalia kutoka Jimbo la Kigoma kuwa shujaa wa ukoo bora wa Mtakatifu Gregory Mkuu wa Daraja la Kiraia na kumpatia uwezo wa kutumia haki zote zinazotokana na hadhi hiyo.

Akishukuru kwa nishani aliyotunukiwa na heshima aliyopewa, Simbakalia alisema wakati akija Kigoma kutumikia nafasi yake ya ukuu wa mkoa, hakuwaza kama siku moja atatunukiwa heshima hiyo kubwa katika kanisa.

Alisema amekaa Kigoma kwa zaidi ya miaka mitano, anaamini amefanya kile alichotumwa kuja kufanya na nishani hiyo ni heshima kwake wananchi wa Mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa jumla kwa heshima waliyopewa ndiyo maana Mungu ameonesha uwezo wake kwa nishani hiyo na heshima aliyopewa.

Naye mke wa Mkuu huyo wa Mkoa, Janet Simbakalia alisema wakati mume wake alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kutoka kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), walijua ni kumkomoa, lakini Mungu ameonesha shani yake kwa yale yote aliyofanya alipokuwa Kigoma.
 
Mod unganisha mada hizi mbili zinaongelea jambo moja lile lile
  • Papa Amtunuku nishani mkuu wa mkoa
  • Mkuu wa Mkoa Mtwara atunukiwa nishana papa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom