KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Shida yako nishaijua kuwa huweki mpaka kati ya uhuru wa mtu, hasa kiongozi kuabudu na nafasi anayoiongoza.
Nyerere kupewa uwenye heri ni ishu ya Kitaifa au ya imani yake binafsi?...waumini wenzie wametambua kazi yake, na kwa mujibu wa dini yao wameamua kumuenzi, wewe inakuhusu nini?
Suala la Basaleh na Ponda ni tofauti sana...ugomvi wao ni wa powers, ambapo ni ishu ya katiba yao moja kwa moja..
Utawasuluhisha kidini, lakini kama katiba ni mbovu, your woirk is futile...right?
we kijana yaelekea upeo ni mdogo sana wa kuchambua mambo in general,unaweza kuwa umesoma lakini unakijua hicho ulichosomea tu,wapo wengi wasomi wa aina yako nchi hii,yani mpaka leo huelewi umuhimu wa viongozi wadini katika siasa,basi kazi ipo kukuelimisha,kwa hiyo wale watu wa cuf kuchomana visu pale manzese bado unaona ni issue ya kikatiba.....dogo mambo yanapoharibika katiba huwa inakaa pembeni ndio pale unaposikiaga kuna watu wanaitwa wapatanishi,hawa wanakuwa ni watu ambao hawana upande katika mgogoro husika mfano hapa ni huo wa power,hawa wanaweza kuwa wazee wnaoheshimika na pande zote au viongozi wa dini kijana,tatizo mnakariri kila kitu wasomi wetu wa siku hizi
Nyerere kupewa tuzo kweli inawza kuwa tuzo ya heshima kwa bongo lakini tatizo ni pale may be chuo kikuu cha kiislam cha misri kitakapompa kikwete tuzo ya heshima au mwinyi,je wote tutaiona tuzo hiyo kama heshima kwa nchi au?be honest hapa...kama kujiunga na OIC Tu jambo ambalo lilikua namanufaa kwa kila mwananchi kwa kunufaika na misaada mlilipinga kwa nguvu zote na mkafanikiwa,tatizo mnajipenda sana na kuwasahau wengine