Mkuu wa Mkoa Mtwara atunukiwa Nishani na Papa Benedict XVII

Nampa ongera.huyu jamaa upande dini hasa rc amejitoa sana kushiriki arambee za ujenzi wa shule za sekondari zinazoendeshwa na rc.mwaka juz nikiwa kasulu alifanikisha ujenzi wa sekondary ya st. Francis.ameudhuria arambee pale,aliwai kutwambia atajitoa ili shule hiyo iwe mfano.nilikuwa kwenye kamat ya ujenz na alifanyakaz kubwa sana, michango yake ya mawazo ilisaidia.waha tu wagumu kutoa michango.mh ruzoka ni askofu mkuu,maana yake anasimamia dayosisi ya kigoma na tabora.nafikiri ata mageuz kupata mabunge wanne wa upinzani ni yeye.huyu hataki unafiki.kati ya wakuu wa mikoa walio wahi kukaa kgma waha wamemkubali sana.
Live Confession!
Aksante broda kwa kujuza wanajamvi!
Kuna watu wanapoliticize kila hoja humu.
 
wapinga kristu humu utawajua tu. . . watakuja tu


Col.(Mst) Joesph Leon Simbakalia - Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kwa sasa (Kigoma by then) anstahili nishani hiyo aliyopewa na Papa. Nakubaliana na utafiti wa Kanisa Katoliki, huyu Mzee anajitolea sana kwa masuala ya Dini. Siyo tu ya Wakristo bali pia kwa Waislamu. Anayebisha aende Kigoma, kuna shule ya Sekondari ya Kiislamu inaitwa KIMWA (Kigoma Muslim Women Association Sec school) amesimamia yeye ikajengwa na shule hadi sasa inafanya kazi. Kwa upande wa kanisa, amesimamia shule ya sekondari ya St. Exavery - Kasulu na shule ya sekondari ya Wasichana ya Carlmery (nadhani spelling siyo sahihi). Lakini licha ya hayo, amesaidia kuwaunganisha viongozi wa Dini mbalimbali Mkoani Kigoma kwa kufanya nao vikao na kupata chakula cha pamoja na pia uwahusisha katika masuala mbali mbali ya kimaendeleo ndani ya Mkoa wa Kigoma.

Simbakalia ni mtu muungwana sana! hana ubaguzi wa kidini, kijinsia, kimapato, kielimu na mengineyo mengi. Yuko tayari kufanya kazi na mtu yeyote yule na kusikiliza mawazo yao. Niliwahi kushuhudia vikongwe wa Kigoma wanamiminika ofisini kwake kuomba msaada na alikuwa anawapa.

Amekuwa akituhumiwa NDC. Ni kweli, yameandikwa hata katika vyombo vya habari. Ila wana JF kumbukeni uuzwaji wa nyumba haukuwa ni sera ya Simbakalia, ilikuwa ni sera ya Mkapa na Magufuli. Yeye kama Director wa kale ka shirika nadhani hakuwa na power ya kuzuia nyumba kuuzwa.

Anapostahili mtu sifa, apewe sifa.
 
Utafiti wao juu ya waliomteua una walakini; huyu bwana alituibia sana mali zetu alipokuwa NDC, pamoja na kujiuzia nyumba kwa bei ya kutupa!!

huo ni wehu na uzushi kwani wezi walishahukumiwa na kufungwa, au unataka kuuaminisha umma kwamba macho na mtazamo wako ikiwa ni pamoja na fitina ulizonazo inaweza kuwa hukumu tosha? papa akitoa nishani kaa ukijua amefanya study ya kutosha na hayo majungu ya kisiasa siasa lazima aliyapata na kuyafanyia kazi kwa kwenda mbele. acha roho mabaya ewe kiumbe.
 
Japouny nakushukuru. Jamaa ni mkweli. Ccm walimpitisha mahusen<ccm> kugombea ubunge kibondo.simbakalia aliwambia nec ccm kuwa huyu ni mchafu kwenye jamii ya wanakibondo. Makamba alimkumbatia mahusein kuwa ni mtu saf kwani ajawahi kupelekwa mahakamani. Ccm walimpitisha ila awatasahau kilichowapata. Shule ya st. Clavery/francis inaingia form 3 na tusubili matokeo ya form 4 watafanya wonders.anaweza kuukumiwa kwa kuwa yuko ndani ya wabovu. Najua watu makini watakaounda serikali makini lazima wampe madaraka huyu mzee.sio mnafiki,ni msikivu na anatoa changamoto kwa wananchi.
 
Msisahau kumgongea thanks na aliyemteua na wakuu wake. Kwenye dini hawatazami makunyanzi ya mtu, manake Mtoto wa mkulima wamemruka du!
 
Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Kanali(Mst) Joseph Simbakalia ametunukiwa Nishani na Papa Benedict XVI baada ya kuteuliwa na Kanisa Katoliki Tanzania kuwa ndiye Mlei bora kabisa kwa mwaka huu 2011!

Hongera Mh.Mlei J.Simbakalia...Naamini kabisa kuwa hujapendelewa na mtu, bali utendaji na uumini wako safi. Mungu akusimamie.

Chanzo: Askofu mkuu wa Jimbo la Tabora, Paul Ruzoka, wakati akitoa matangazo baada ya Misa kuu ya Krismas iliyofanyika kitaifa mkoani Tabora.
Hongera mheshimiwa,japo sielewi walei ni kitu gani,lakini hili lingetokea let say kwa Abbas Kondoro mkuu wa mkoa wa mbeya au da mwantumu mahiza wa pwani kapewa nishani let say na AYATOLLAH KHOMEINI au mufti simba tungepiga sana kelele humu ndani,nasema hivi tujifunze kuvumiliana
 
Japouny nakushukuru. Jamaa ni mkweli. Ccm walimpitisha mahusen<ccm> kugombea ubunge kibondo.simbakalia aliwambia nec ccm kuwa huyu ni mchafu kwenye jamii ya wanakibondo. Makamba alimkumbatia mahusein kuwa ni mtu saf kwani ajawahi kupelekwa mahakamani. Ccm walimpitisha ila awatasahau kilichowapata. Shule ya st. Clavery/francis inaingia form 3 na tusubili matokeo ya form 4 watafanya wonders.anaweza kuukumiwa kwa kuwa yuko ndani ya wabovu. Najua watu makini watakaounda serikali makini lazima wampe madaraka huyu mzee.sio mnafiki,ni msikivu na anatoa changamoto kwa wananchi.

@KAJUNJU = Simbakalia aliwaambia hata NEC kuwa kama hawatamtafuta mtu mzuri Kigoma Kusini (aliko Kafulila) upinzani utachukua. Hawakumsikiliza, NCCR wakachukua Jimbo kiulaini sana! Yeye ni mtu asiye penda unafiki, ni Mjeshi anapenda mambo yanayoenda straight forward!
 
Hoangera mheshimiwa,japo sielewi walei ni kitu gani,lakini hili lingetokea let say kwa Abbas Kondoro mkuu wa mkoa wa mbeya au da mwantumu mahiza wa pwani kapewa nishani let say na AYATOLLAH KHOMEINI au mufti simba tungepiga sana kelele humu ndani,nasema hivi tujifunze kuvumiliana
Du!
Hii kali!
Jaman, hii sio thread ya udini!...nani angepiga kelele kwa maslahi ya nani?
Ikumbukwe kuwa kutoa positive/constructive criticism, hata kama itamuudhi mtu si mbaya, mradi kuongea ukwel;i!
 
To me,there is something behinde hidden.

Binafsi si shangazi na hiyo NISHANI, kwani Bw Simbakalia ni miongoni mwa wakatoliki walio isimamia vyema mikakati ya kudhohofisha nguvu ya waislamu mkoa wa Kigoma pamoja na kusimamia kwa uadilifu uliotukuka WARAKA wa kanisa wakt wa uchaguzi mkuu 2010, alihakikisha ktk mkoa wa Kigoma bila kujali chama hakuna mgombea Muislamu anashinda kiti cha ubunge na alifanikiwa 90% kwani mkoa mzima "KIGOMA" mbunge muislamu ni Mh. zitto peke yake, nae pamoja na kupigwa vita ya kidini iliyohamasishwa na Simbakalia + Askofu Ruzoka & kutekelezwa na ma-DC ambao wote ni wakristu, alipita kwa nguvu kubwa aliyokuwa nayo kama Zitto na sio kwasababu ya chama chake. Ilifikia hatua kwa ushauri wa Askofu Ruzoka, Mh. Chiza -N/waziri kilimo mawakala wake wote walikuwa MA-SISTERS. Hivi unafikiri kwa mazingira kama haya Simbakalia hatopewa NISHANI ya utumishi uliotukuka na Kanisa lake "KATOLIKI"
 
Binafsi si shangazi na hiyo NISHANI, kwani Bw Simbakalia ni miongoni mwa wakatoliki walio isimamia vyema mikakati ya kudhohofisha nguvu ya waislamu mkoa wa Kigoma pamoja na kusimamia kwa uadilifu uliotukuka WARAKA wa kanisa wakt wa uchaguzi mkuu 2010, alihakikisha ktk mkoa wa Kigoma bila kujali chama hakuna mgombea Muislamu anashinda kiti cha ubunge na alifanikiwa 90% kwani mkoa mzima "KIGOMA" mbunge muislamu ni Mh. zitto peke yake, nae pamoja na kupigwa vita ya kidini iliyohamasishwa na Simbakalia + Askofu Ruzoka & kutekelezwa na ma-DC ambao wote ni wakristu, alipita kwa nguvu kubwa aliyokuwa nayo kama Zitto na sio kwasababu ya chama chake. Ilifikia hatua kwa ushauri wa Askofu Ruzoka, Mh. Chiza -N/waziri kilimo mawakala wake wote walikuwa MA-SISTERS. Hivi unafikiri kwa mazingira kama haya Simbakalia hatopewa NISHANI ya utumishi uliotukuka na Kanisa lake "KATOLIKI"
Binafsi nachukulia hii kama credit kwa Simbakalia.
Kama mtu mmoja tu anaweza akawamanipulate watu wa mkoa mzima na kuwaendesha kama garibovu kiasi hiki, basi huyu mtu ni strong sana, and he can be trusted to lead!
Naamini hakumchapA mtu kiboko, wala hakumuua hata sisimizi katika kazi yooote uliyoieleza hapo juu!
 
Binafsi si shangazi na hiyo NISHANI, kwani Bw Simbakalia ni miongoni mwa wakatoliki walio isimamia vyema mikakati ya kudhohofisha nguvu ya waislamu mkoa wa Kigoma pamoja na kusimamia kwa uadilifu uliotukuka WARAKA wa kanisa wakt wa uchaguzi mkuu 2010, alihakikisha ktk mkoa wa Kigoma bila kujali chama hakuna mgombea Muislamu anashinda kiti cha ubunge na alifanikiwa 90% kwani mkoa mzima "KIGOMA" mbunge muislamu ni Mh. zitto peke yake, nae pamoja na kupigwa vita ya kidini iliyohamasishwa na Simbakalia + Askofu Ruzoka & kutekelezwa na ma-DC ambao wote ni wakristu, alipita kwa nguvu kubwa aliyokuwa nayo kama Zitto na sio kwasababu ya chama chake. Ilifikia hatua kwa ushauri wa Askofu Ruzoka, Mh. Chiza -N/waziri kilimo mawakala wake wote walikuwa MA-SISTERS. Hivi unafikiri kwa mazingira kama haya Simbakalia hatopewa NISHANI ya utumishi uliotukuka na Kanisa lake "KATOLIKI"

kilindila wewe ni mnafiki.haujui kigoma.mhashamu ruzoka sio askofu wa jimbo la kigoma. Askofu wa kigoma ni rugambwa.kili kwa uongo huu. Hivi jimbo la zito waislam ni weng kuzid wakiristu?kura za zito alipewa na waislam peke yao? Kigoma ni watu wa msimamo. Wanaangalia anayewasaidha na si longolongo. Ata jimbo la kafurira waislam ni wengi sana. Je kafurira alipata kula za wakiristo tu?akili za kuambiwa changanya na zako rojas
 
Du!
Hii kali!
Jaman, hii sio thread ya udini!...nani angepiga kelele kwa maslahi ya nani?
Ikumbukwe kuwa kutoa positive/constructive criticism, hata kama itamuudhi mtu si mbaya, mradi kuongea ukwel;i!

acha maneno ya kitoto wewe juzi tu hapa sheikh ponda na sheikh basaleh kuingilia kati kutaka kuwasuluhisha maalimu seif na mpiganaji Hamad Rashid kelele kibao zilisikika hapa watu oooooh why?wao ni nani ktk cuf...wakati walichokuwa wanataka kukifanya kama viongozi wa dini na kitendo cha kuleta amani na maelewano ndani ya cuf ambako hali ilifikia pabaya kiasi cha wafuasi wawil hao kuchomana visu pale mabibo,hakuna kiongozi mungine wa dini aliyethubutu hata kuwaita viongozi hao wawili isipokua ponda na basaleh
 
acha maneno ya kitoto wewe juzi tu hapa sheikh ponda na sheikh basaleh kuingilia kati kutaka kuwasuluhisha maalimu seif na mpiganaji Hamad Rashid kelele kibao zilisikika hapa watu oooooh why?wao ni nani ktk cuf...wakati walichokuwa wanataka kukifanya kama viongozi wa dini na kitendo cha kuleta amani na maelewano ndani ya cuf ambako hali ilifikia pabaya kiasi cha wafuasi wawil hao kuchomana visu pale mabibo,hakuna kiongozi mungine wa dini aliyethubutu hata kuwaita viongozi hao wawili isipokua ponda na basaleh
Sasa unafananishaje hii ishu na mambo ya kupewa mtu nishani broda?
Ishu ya ugomvi ndani ya chama ina taratibu zake ambao uko laid down kwenye kanuni za chama husika...
Nitasupport mwanadini kuingilia magomvi ya kisiasa kama kanuni za chama na usuluhishi wa mahakama vyote vitachemsha!
 
tukianza kunyoosheana vidole hakuna msafi kati yetu
hata mt paulo alikuwa muuaji na mpinga kristo lkn akawa mwalimu wa kanisa.
sisi tunatazama dhambi zaidi lkn Mungu anaangalia imani na unyenyekevu wake ktk kutii amri zake na kuwa mfano kwa wengine
nampa hongera binafsi namfahamu utendaji wake nimeshafanya kazi kigoma hana makuu na ktk mambo ya kanisa siku zote yupo mstari wa mbele.
 
Back
Top Bottom