Captain22
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 623
- 279
Nimepokea kwa masikitiko na mshangao mkubwa kitendo cha mkuu wa mkoa wa manyara Ndg Erasto Mbwilo kuwa msimamizi wa uchaguzi ndani ya CCM. Swali langu ni je mkuu wa mkoa ana majukumu gani kichama? Mkuu wa mkoa anamwakilisha raisi au mwenyekiti wa CCM?
Source ITV NEWS
Source ITV NEWS