wagaba
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,106
- 603
wana JF niambieani ni mbunge gani ambaye amepita ktk jimbo lake akiwa msafi na amepita kihalali bila ya mlungula kiasi kwamba hata akipewa uwaziri hatadhubutu kurudisha principle money plus interest aliyoingia nayo mjengoni kwa kipindi hiki? labda watatofauitiana ktk uchotaji tuu. kuna wengine watataka quick returns na wengine waoga au strategists wataenda mdogo mdogo (kula na kipofu).
kwa hiyo, njia mbadala ni kutumia nafasi zake mbadala za kujaza nafasi za wabunge wa kuteuliwa na kuwapa uwaziri kwa kuwa hazina harufu kali za rushwa. tegemea mawaziri wengi wanawake!
mbadala mwingine ni kuchungulia CCM B (prof. L/Pumba ametajwa tajwa).
haya ni mawazo yangu tu. changia bila kutupa madongo
nawasilisha
kwa hiyo, njia mbadala ni kutumia nafasi zake mbadala za kujaza nafasi za wabunge wa kuteuliwa na kuwapa uwaziri kwa kuwa hazina harufu kali za rushwa. tegemea mawaziri wengi wanawake!
mbadala mwingine ni kuchungulia CCM B (prof. L/Pumba ametajwa tajwa).
haya ni mawazo yangu tu. changia bila kutupa madongo
nawasilisha