BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,126
- 732
no comment!!!!!!!!!!!cos mimi pia ni muislam.
Katika pita pita zangu kwenye mablog nimekumbana na picha inasema mke mdogo wa kikwete!!! Je kuna ukweli wowote????
inamuondolea ufanisi, angekua na productivity kama rais , tungesema pouwa, ila nchi yenyewe vumbi tu alafu mwenykt anazidisha libenekie, sio kivivyo ..mimi naona hakuna haja ya kulalamika!kwani tulimchagua tukifahamu kabisa!hivyo kama kaoa as far as ana uwezo wa kuwatunza ni sawa kabisa!
MIMI NAMUUNGA MKONO MIA KWA MIA, HAWA WANAWAKE WOTE WALIOJAA MITAANI SI BORA WAOLEWE NA MWANAMUME MWENYE MKE KULIKO KUWA PUBLIC PROPERTY, MIMI UWEZO TU SINA LAKINI NA MIMI NINGECHUKUA KICHINCHRI KINGINE NIKAWEKA NDANI
:hail:
Hakuna ubaya,lakini ikiwekwa wazi ni vema zaidi kuliko kufichficha ili tumjue mama yetu mdogo.Na ikiwezekana tumpe heshima yake.Imani yake inamruhusu - kuna ubaya gani jamani?
Wangapi humu mnao hadi wanne na kuzidi na hamjisemi na wengine hata dini zenu haziwaruhusu.Lets stop being petty!
Tatizo siyo idadi ya wake,tatizo lipo kwenye kuwatimizia mahitaji yao, Mkuu wakaya ameanza kuchoka kimwili na ki a*** ..Imani yake inamruhusu - kuna ubaya gani jamani?
Wangapi humu mnao hadi wanne na kuzidi na hamjisemi na wengine hata dini zenu haziwaruhusu.Lets stop being petty!
embu fikiria akiwa nao wanne nani ataumia kuwahudumia hao wanne si ni sisi wananchi kwani kila mmoja lazima atakuwa na bodyguard,mashangingi,nyumba..na ishu inakuja pale watakapo kuwa wanataka kuruka majuu huko nani atatumia ndege ya mungwana itakuwa vituko vitupu na vikumbo tu./