Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Pengine wengine wawezamlaumu huyu bana lakini sasanaona anairudisha jf kwenye mstari si wengi wanapenda jf iwepo kama hivi ilivyo sasa na vigumu kuirekebisha kwa maneno basi nachukua wasaa huu kuomba kila mwana jf amsapoti na kuacha kusapoti utoto mwisho mkuu kama unakula yale mambo yetu...ngroooooooooooooooongroooooooooooo ntakuwa nyuma ya kanisa la kakobe mida ya saa nane ni pm mkuu tupongezane kwa yule mnyama wetu wa asili
jumapili njema
jumapili njema