Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Eti naskia Galanos alifutiwa matokea kwa kuiba mitihani na kuangalizia...
Ya kweli hayo?? Kwa vile inaonyesha unamjua vizuri hebu tujuze basi. Ni vizuri kumuweka kwenye scrutiny sana ili huko mbele awe free na hizi kashfa.
Mkuu usitueleze habari za kusikia. Game Theory amekwambia jamaa alisoma George Mason, ni Diplomat na alikuwa Msaidizi wa rais. Amefanya kazi Jimmy Carter Foundation ambapo hawafanyi kazi na vilaza, labda kama hujui Jimmy Carter alikuwa nani!