jambo la kushangaza kapew mmraekani zaidi hekari 250,000 na atalipa kwa mwaka Tsh 700 @hekari ikiwa na mgawanyo Tsh 200 kwa halmashauri husika na Tsh 500 kwa serikali kuu
hii ni ujinga iliopita kiwango hakuna mwenye uchungu na nchii hii ardhi hii wangepewa watz wao wangezalisha vizuri
viongozi hajiamini na hawawamini watu wao kuwa wanaweza ila anayeweza ni mzungu tu na hii ni falasafa ya mtu mweusi
hii ni ujinga iliopita kiwango hakuna mwenye uchungu na nchii hii ardhi hii wangepewa watz wao wangezalisha vizuri
viongozi hajiamini na hawawamini watu wao kuwa wanaweza ila anayeweza ni mzungu tu na hii ni falasafa ya mtu mweusi