Mkutano wa WANAWAKE Wajasiriamali! Jumamosi 8-10-2011 KARIBU wote tujumuike!

Caroline Danzi

JF-Expert Member
Dec 19, 2008
3,713
1,263
Wapendwa wadada wa JF,

Bwana Yesu asifiwe sana/A'saaam Aleykum.

Kuna mkutano wa wanawake wajasiriamali utakaofanyika Jumamosi 8-10-2011 Benjamin Mkapa Tower, ukumbi wa Benjamini Mkapa kuanzia saa 8 kamili mchana. Huu mkutano umeandaliwa na wanawake kutoka Dodoma, Arusha na Dar es salaam, ambao wanafanya NETWORK MARKETING na wangependa kushiriki nasi.

Ni kwa wanawake tu. Kiingilio ni Tshs. 5,000 tu. Kwa wale ambao watapenda kuhudhuruia, tafadhali nipigieni simu namba 0787/0757 212122 au 0655 447788. Caroline Danzi. Nitawaconnect na muhusika mkuu. Sfitegemei kama wanawake wa humu ndani wanaweza kukosa 5,000/= ila kama kuna mtu ambaye anapenda kuja, budget imebana niko tayari kumlipia!

Wanawake karibuni sana, hizi fursa siyo za kuchezea.

Wasalaam CD


Nata
 
Caroline - Huo mkutano ni one off au ni wa mara kwa mara? Siwezi kuja with such short notice lakini tuko pamoja... naomba unishtue next time mnakutana.
 
Hata mimi nimepewa hizo taarifa kwa kuchelewa. Si mbaya nitawaletea kila yatakayojiri huko. Karibuni sana.
CD
 
Mjasiria ki ukweli hata mimi sijapenda, hapa wanawake wanazingua ingekuwa kwa wanaume sasa hizi wameshanipigia simu nyingi na confirmation za attendance zingejaa kwa kwenda mbele! wanawake bado sanaaaaaaaa! tujitahidi tutafika tu hata kwa kujikongoja.
 
inabidi tuanzishe men empowerment ya JF unless otherwise watuambie wa wanaume utakuwa lini
 
yaani nyinyi wa mjini tuu ndio mnakutana tena kwenye magorofa marefu namna ile, wale wa vijijini je? mmewaacha waende wakachote maji kwenye mito na kutwanga mtama, tafuteni namna ya kuwashirikisha na wao wa vijijini ili wan'gatuke kwenye umaskini

utuletee na picha hapa jamvini , okay CD
 
yaani nyinyi wa mjini tuu ndio mnakutana tena kwenye magorofa marefu namna ile, wale wa vijijini je? mmewaacha waende wakachote maji kwenye mito na kutwanga mtama, tafuteni namna ya kuwashirikisha na wao wa vijijini ili wan'gatuke kwenye umaskini

utuletee na picha hapa jamvini , okay CD

Wanaume wa JF nina mpango wa kupita sememu ambazo wanawake wa kijijini hawafikiwi ili niweze kuwapa dondoo za kufika wengine walipo. Wanaume mtanisaidia? Ngoja nikapike wali, nikirudi hapa nina cha kusema na wanaume wanaotujali kama nyie mlioshare hii thread!
 
hao wanawake wa vijijini utawaweza? mawazo yao yote yapo kufikiria kunaswa vibao na wanywa mkomboti
 
Siku hizi wana akili sana kaka, wako makini zaidi. Hata hivyo, inabidi tuwape somo waelewe. Na walioko mjini wanachapwa sema tu mambo ni mengi hawasemi.

Kesho nakuna na kie nilichojifunza kwenye mkutano huu wa Women Networking!
 
wapendwa wadada wa jf,

bwana yesu asifiwe sana/a'saaam aleykum.

Kuna mkutano wa wanawake wajasiriamali utakaofanyika jumamosi 8-10-2011 benjamin mkapa tower, ukumbi wa benjamini mkapa kuanzia saa 8 kamili mchana. Huu mkutano umeandaliwa na wanawake kutoka dodoma, arusha na dar es salaam, ambao wanafanya network marketing na wangependa kushiriki nasi.

Ni kwa wanawake tu. Kiingilio ni tshs. 5,000 tu. Kwa wale ambao watapenda kuhudhuruia, tafadhali nipigieni simu namba 0787/0757 212122 au 0655 447788. Caroline danzi. Nitawaconnect na muhusika mkuu. Sfitegemei kama wanawake wa humu ndani wanaweza kukosa 5,000/= ila kama kuna mtu ambaye anapenda kuja, budget imebana niko tayari kumlipia!

Wanawake karibuni sana, hizi fursa siyo za kuchezea.

Wasalaam cd


nata

mkuu ila hujasema tuje na kiasi gani cha pesa kununua bidhaa za forever living, make hapo ni forever living hakuna kingine,

ila kwa wanawake hapo mmewapata na mkiwaonyesha na cd za zile stori za kutunga za watu waliofanikiwa kwa kutembeza madawa mtakua mmemaliza kazi,.
Forever living tuko pamoja, ila tangaza na kilia mama aje na sh ngapi za kununua dawa za meno, shampoo, sabuni na kazalika
 
Sina uhakika kama dada Caroline atakuja kutumwagia story za Forever Living products! Ngoja tusubiri tuone.

mkuu ila hujasema tuje na kiasi gani cha pesa kununua bidhaa za forever living, make hapo ni forever living hakuna kingine,

ila kwa wanawake hapo mmewapata na mkiwaonyesha na cd za zile stori za kutunga za watu waliofanikiwa kwa kutembeza madawa mtakua mmemaliza kazi,.
Forever living tuko pamoja, ila tangaza na kilia mama aje na sh ngapi za kununua dawa za meno, shampoo, sabuni na kazalika
 
mkuu ila hujasema tuje na kiasi gani cha pesa kununua bidhaa za forever living, make hapo ni forever living hakuna kingine,

ila kwa wanawake hapo mmewapata na mkiwaonyesha na cd za zile stori za kutunga za watu waliofanikiwa kwa kutembeza madawa mtakua mmemaliza kazi,.
Forever living tuko pamoja, ila tangaza na kilia mama aje na sh ngapi za kununua dawa za meno, shampoo, sabuni na kazalika

Theme ya mkutano wa jana ilikuwa (STRONG WOMEN), Inspirational WOMEN EVENT. Kukaa kimya ni kuzuri kuliko kuropoka. Siyo kila thread lazima uchangie.
 
Theme ya mkutano wa jana ilikuwa (STRONG WOMEN), Inspirational WOMEN EVENT. Kukaa kimya ni kuzuri kuliko kuropoka. Siyo kila thread lazima uchangie.

"wise people talk because they have something to say, but .... talk because they have to say something"
 
Sasa Caroline - are you saying you are glad ulienda au hii ni issue ya "no comment"?! Hiyo topic inaonekana maridadi lakini kwa rejesho lako hapo chini bado nimebaki gizani...

Tuko pamoja!

Theme ya mkutano wa jana ilikuwa (STRONG WOMEN), Inspirational WOMEN EVENT. Kukaa kimya ni kuzuri kuliko kuropoka. Siyo kila thread lazima uchangie.
 
Nilienda, mrishonyumba naleta hapa by kesho jioni. Huyo komando huyo anasema mambo ya forever wakati mimi huko siko ndiyo nilikuwa namjibu.
 
Wapendwa wadada wa JF,

Bwana Yesu asifiwe sana/A'saaam Aleykum.

Kuna mkutano wa wanawake wajasiriamali utakaofanyika Jumamosi 8-10-2011 Benjamin Mkapa Tower, ukumbi wa Benjamini Mkapa kuanzia saa 8 kamili mchana. Huu mkutano umeandaliwa na wanawake kutoka Dodoma, Arusha na Dar es salaam, ambao wanafanya NETWORK MARKETING na wangependa kushiriki nasi.

Ni kwa wanawake tu. Kiingilio ni Tshs. 5,000 tu. Kwa wale ambao watapenda kuhudhuruia, tafadhali nipigieni simu namba 0787/0757 212122 au 0655 447788. Caroline Danzi. Nitawaconnect na muhusika mkuu. Sfitegemei kama wanawake wa humu ndani wanaweza kukosa 5,000/= ila kama kuna mtu ambaye anapenda kuja, budget imebana niko tayari kumlipia!

Wanawake karibuni sana, hizi fursa siyo za kuchezea.

Wasalaam CD


Nata
Bold: Hatuna tena mpya hapa.... ngoja nisogee kaunta nikainue moyo......!!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom