mkutano wa wanajamii Business and Economic forum mwishoni mwa mwaka

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,497
wasalaam ndugu. Mimi ni mwanachama msomaji na mfuatiliaji wa karibusana wa jukwaa hili kuliko majukwaa yote ktk forum hii ingawa sina muda mrefu sana . Sina uhakika kama wapenzi wenzagu wa jukwaa hili lenye kujenga huwa mna utaratibu wa kukutana nakubadilishana mawazo na mbinu za kujikwamua kimaisha, kama ndivyo naomba nipewe taarifa marafiki zangu. Kama hakuna mnaonaje tukatenga siku moja tunapoelekea mwisho wa mwaka kuwa pamoja na kubadilishana mawzo haya ikiwepo kujenga ukaribu zaidi maana wengi tunafaamiana kwa njia ya nicknames.

Ahsante nawasilisha.
 
mkuu kama uko Dar unaweza kuomba appointment na wenyeviti wa jukwaa hili via PM. Jamaa wanaitwa malila, LAT, Kanyagio, Maskini Jeuri, Newmzalendo etc. Naamini hawa jamaa watakupa mwanga kwenye uwekezaji, sababu inakuwa shida sana kukutanisha watu wengi kwa wakati mmoja.
wasalaam ndugu. Mimi ni mwanachama msomaji na mfuatiliaji wa karibusana wa jukwaa hili kuliko majukwaa yote ktk forum hii ingawa sina muda mrefu sana . Sina uhakika kama wapenzi wenzagu wa jukwaa hili lenye kujenga huwa mna utaratibu wa kukutana nakubadilishana mawazo na mbinu za kujikwamua kimaisha, kama ndivyo naomba nipewe taarifa marafiki zangu. Kama hakuna mnaonaje tukatenga siku moja tunapoelekea mwisho wa mwaka kuwa pamoja na kubadilishana mawzo haya ikiwepo kujenga ukaribu zaidi maana wengi tunafaamiana kwa njia ya nicknames.

Ahsante nawasilisha.
 
mkuu kama uko Dar unaweza kuomba appointment na wenyeviti wa jukwaa hili via PM. Jamaa wanaitwa malila, LAT, Kanyagio, Maskini Jeuri, Newmzalendo etc. Naamini hawa jamaa watakupa mwanga kwenye uwekezaji, sababu inakuwa shida sana kukutanisha watu wengi kwa wakati mmoja.

Haya Bwana M-pesa kwa kutupa uwenyekiti wa jukwaa.

Mi niseme ninacho kijua, kweli huwa tunakutana kwa mazungumzo, mijadala,majumuisho mjini Dar kwa hiari. Kama unaweza kutafuta humu ndani kuna uzi ulitolewa na Kanyagio, ulikuwa ni juu ya Chai day 2011, ni mfano wa majumuiko yetu. Hawa jamaa wa Chai day hukutana kila mwanzo wa mwaka, naamini 2012 watakutana tena. 2011 wamekutana mara tano hivi, hii ni siku ambayo hawanywi kilevi zaidi ya chai.
 
Back
Top Bottom