MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
wasalaam ndugu. Mimi ni mwanachama msomaji na mfuatiliaji wa karibusana wa jukwaa hili kuliko majukwaa yote ktk forum hii ingawa sina muda mrefu sana . Sina uhakika kama wapenzi wenzagu wa jukwaa hili lenye kujenga huwa mna utaratibu wa kukutana nakubadilishana mawazo na mbinu za kujikwamua kimaisha, kama ndivyo naomba nipewe taarifa marafiki zangu. Kama hakuna mnaonaje tukatenga siku moja tunapoelekea mwisho wa mwaka kuwa pamoja na kubadilishana mawzo haya ikiwepo kujenga ukaribu zaidi maana wengi tunafaamiana kwa njia ya nicknames.
Ahsante nawasilisha.
Ahsante nawasilisha.