Mkutano wa waandishi: Lipumba, Shelukindo, TANESCO na PPRA

Wakuu ni Saa 4 na nusu hapo Dar... please any updates so far?

Mkuu Mwiba umeelekea wapi pasipojulikana? Au Karibu na Magogoni/Ferry?
 
Wakuu ni Saa 4 na nusu hapo Dar... please any updates so far?

Mkuu Mwiba umeelekea wapi pasipojulikana? Au Karibu na Magogoni/Ferry?
Babake Enock,

Mjumbe wetu yupo eneo la tukio muda mrefu (almost masaa mawili yamepita) lakini naambiwa imemuwia ngumu kuweza ku-access kikao hiki kwani kaambiwa yeye si mhariri na akaambiwa atoe identification ya kuonesha yeye ni mhariri. Audio format itapatikana baadae hii leo
 
Babake Enock,

Mjumbe wetu yupo eneo la tukio muda mrefu (almost masaa mawili yamepita) lakini naambiwa imemuwia ngumu kuweza ku-access kikao hiki kwani kaambiwa yeye si mhariri na akaambiwa atoe identification ya kuonesha yeye ni mhariri. Audio format itapatikana baadae hii leo

Yaani hawakunielewa nilipoambiwa niondoke labda kwa vile umiwawekea hali halisi ,wataona kama nilikuwa sitanii maana ,kwa hali ya Tz leo hakuna utani,halafu angalieni msije kufananisha mjumbe na mhariri.

FlyBikeBARCROFT_450x300.jpg
 
Hivi wakuu nasikia about acting president humu ndani ni nani huyo???? Nataka kujua who is that?
 
Yaani hawakunielewa nilipoambiwa niondoke labda kwa vile umiwawekea hali halisi ,wataona kama nilikuwa sitanii maana ,kwa hali ya Tz leo hakuna utani,halafu angalieni msije kufananisha mjumbe na mhariri.

FlyBikeBARCROFT_450x300.jpg

Watabana mwisho wataachia tu mkuu!
 
Hivi wakuu nasikia about acting president humu ndani ni nani huyo???? Nataka kujua who is that?

Nandi wapi? Humu Jamvini au Huko kwenye Kikao?

Rais gani? Wa Nchi au wa Taasisi fulani?
 
Hivi wakuu nasikia about acting president humu ndani ni nani huyo???? Nataka kujua who is that?

Ndani wapi? Humu Jamvini au Huko kwenye Kikao?

Rais gani? Wa Nchi au wa Taasisi fulani?
 
Nadhani atazungumzia (JK), kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi kwa WANANNJI!!!
 
Nandi wapi? Humu Jamvini au Huko kwenye Kikao?

Rais gani? Wa Nchi au wa Taasisi fulani?

Mkuu sorry sikuiweka vizuri, nilikuwa na mreference Mag3 kama alivyosema hapa

Msimamo wa PPRA kuhusu ununuzi wa mitambo ya ------
Msimamo wa upande gani utapeta ?
Jibu analo acting Prez wa TZ - Huyo mwingine aliyechaguliwa 2005 achaneni naye, hana lolote, yuko likizoni.
 
It is easily said than done...mkuu 911!
Yah,nikweli mkulu.Ila jiulize hasa Zitto anachoking'ang'ania hasa katika mitambo hii ni kipi???Mi naona kaamua kujiunga nao...Maana hoja ya udharura wa kuepuka kuingia gizani si hoja tena.Na kusema sijui IPTL nayo ni mitambo chakavu and bla,blah...Ni kilele cha ufisadi.
 
Oooh, gosh. Inawezekana Zitto yuko right, lakini mwendelezo wa mambo unavyoonekana ni vigumu kumini kama hajawa-bought wholesale. Kuna kutetea unachokiamini. Kuna kutetea unachotaka watu wafikirie unakiamini. Kuna kutetea usichokiamini.

Hatuwezi kutumia IPTL kujustify Dowans, hiyo inanifanya nimfikirie Zitto mara mbili. Hivi kweli unaweza ukatumia hoja mkenge Kwamba tununue na Dowans kwa kuwa tunanunua na IPTL. IPTL ni ndoano tulishaimeza, hatuwezi kuitema. 20 years contract already signed! Arbitration imefail on our adversaries favour. Option B imekuwa ni afadhali kuukata mguu kuliko kuendelea kuliwa na kansa ya IPTL. Kuukata mguu, ni kununua IPTL outright badala ya kuendelea kulipa bilions, kwani hadi mkataba unaisha tutakuwa tumelipa nyingi kuliko tukinunua leo.

Sasa mtu anatumia uchafu huo kujustify uchafu mwingine!!! OK may be my head is not working well. Lakini naona kama Zitto ameshaingia kwenye PR ya Dowans and he will do it as long as he is capable. Like it or not, imeshakuwa. Inawezekana woote hapa hatujui sheria ya nchi hii, LAKINI ALL THESE CONTROVERSIES TELLS IT ALL.

Hoja ya kununua Dowans kwa kuwa na IPTL imenunuliwa, ni sawa na kusema kateni miguu yote miwili kwa kuwa ule wenye kansa umeshakatwa.

Hizi public campaigns has nothing more than showdown of power within the rulling group. Ukiona na wengine wanaingia humo, subiri kitakachofuatia kesho.
 
Lipumba anatetea Dowans inunuliwe katika kikao cha Kempiski. Hapo hapo, kikao kingine kinaendelea hapo hapo Kempiski ambacho 'wataalamu' wa Tanesco waliodai kwamba walikagua mitambo ya Dowans na kuona inafaa watazungumza na kutetea.

Hii INATISHA SANA na kwa KWELI NALILIA TANZANIA YANGU.

Nakumbuka zamani, 1995, 2000, 2005 na sasa 2010.... Hatuna upinzani, hatuna vyombo vya habari, JF haifiki kule kwetu Igunga na Kasulu na kwa kweli Watanzania wazalendo wa nchi hii watakufa wakijiona na nchi IKO REHANI

Mafisadi kuamua nani awe rais 2010?
 
Nampa pole sana mheshimiwa zito kwa kujiingiza katika mjadala huu wa Dowans, baya zaidi zi juu ya uamuzi wake wa kuunga mkono ununuzi wa mitambo hiyo. Maelezo mengi tunayoyasoma na kuyasikia yanaelezea uchafu wa deal nzima ya Dowans na warithishaji wake Richmod. Nachelewa kuamini kama ufahamu wa kijana wetu haukuweza kuyaona machafu yote haya, ama ameamua kufumba macho kwa kutegemea mgao mnono kama deal lingetiki. Nahisi huu ni mwanzo wa anguko la kisiasa la muheshimiwa. Kishalikoroga, lazima alinywe. Nina maanisha kama hakufikiri vizuri kabla ya kuamua kuweka msimamo wake, basi hana nafasi ya kubadili msimamo bali ni kuendelea kuutetea hata kama anajua anajikaanga mwenyewe.
 
Lipumba anatetea Dowans inunuliwe katika kikao cha Kempiski. Hapo hapo, kikao kingine kinaendelea hapo hapo Kempiski ambacho 'wataalamu' wa Tanesco waliodai kwamba walikagua mitambo ya Dowans na kuona inafaa watazungumza na kutetea.

Hii INATISHA SANA na kwa KWELI NALILIA TANZANIA YANGU.

Nakumbuka zamani, 1995, 2000, 2005 na sasa 2010.... Hatuna upinzani, hatuna vyombo vya habari, JF haifiki kule kwetu Igunga na Kasulu na kwa kweli Watanzania wazalendo wa nchi hii watakufa wakijiona na nchi IKO REHANI

Mafisadi kuamua nani awe rais 2010?

Asante mkuu Halisi,

Watanzania tunafurahisha sana. Jambo moja tunalijadili mwaka mzima hakuna maamuzi. Imeamuliwa hakuna kununua mitambo ya Dowans, wasonge mbele na kutafuta solutions zingine.

Hivi haka ni kaugonjwa gani? Kweli Tanesco wanapoteza muda na resources kuendelea kulumbana kwenye mambo ambayo yametolewa uamuzi?

Hiyo sasa ni PR ambayo haimsaidii mtanzania wala haiongezi tija kwenye taifa.

Hata Lipumba alitakiwa wakati ule ule jambo hili linajadiliwa ndio achangie na sio baada ya maamuzi kutolewa.

Hata mimi nilishauri kama Dowans ni value for money tununue, lakini muda umepita tusonge mbele na kutafuta jawabu la matatizo yetu.

Kwenye serikali inayochaguliwa na watu kuna wakati lazima pia uangalie maoni ya watu. Kama wananchi hawataki kitu, kuna haja gani ya kulazimisha? Kwenye hili jambo zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania wanakataa, hata kama kimahesabu hawako sahihi, lakini inabidi kuwasikiliza.
 
Asante mkuu Halisi,

Watanzania tunafurahisha sana. Jambo moja tunalijadili mwaka mzima hakuna maamuzi. Imeamuliwa hakuna kununua mitambo ya Dowans, wasonge mbele na kutafuta solutions zingine.

Hivi haka ni kaugonjwa gani? Kweli Tanesco wanapoteza muda na resources kuendelea kulumbana kwenye mambo ambayo yametolewa uamuzi?

Hiyo sasa ni PR ambayo haimsaidii mtanzania wala haiongezi tija kwenye taifa.

Hata Lipumba alitakiwa wakati ule ule jambo hili linajadiliwa ndio achangie na sio baada ya maamuzi kutolewa.

Hata mimi nilishauri kama Dowans ni value for money tununue, lakini muda umepita tusonge mbele na kutafuta jawabu la matatizo yetu.

Kwenye serikali inayochaguliwa na watu kuna wakati lazima pia uangalie maoni ya watu. Kama wananchi hawataki kitu, kuna haja gani ya kulazimisha? Kwenye hili jambo zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania wanakataa, hata kama kimahesabu hawako sahihi, lakini inabidi kuwasikiliza.

NIMEKUKUBALI kwa hii post mtanzania mwenzangu.naomba nikwambie pia WATANZANIA WAPO SAHIHI SANA KIMAHESABU
 
Babake Enock,

Mjumbe wetu yupo eneo la tukio muda mrefu (almost masaa mawili yamepita) lakini naambiwa imemuwia ngumu kuweza ku-access kikao hiki kwani kaambiwa yeye si mhariri na akaambiwa atoe identification ya kuonesha yeye ni mhariri. Audio format itapatikana baadae hii leo
Baridi.......

......mkipata video za kikao itapendeza..
 
Asante mkuu Halisi,

Watanzania tunafurahisha sana. Jambo moja tunalijadili mwaka mzima hakuna maamuzi. Imeamuliwa hakuna kununua mitambo ya Dowans, wasonge mbele na kutafuta solutions zingine.

Hivi haka ni kaugonjwa gani? Kweli Tanesco wanapoteza muda na resources kuendelea kulumbana kwenye mambo ambayo yametolewa uamuzi?

Hiyo sasa ni PR ambayo haimsaidii mtanzania wala haiongezi tija kwenye taifa.

Hata Lipumba alitakiwa wakati ule ule jambo hili linajadiliwa ndio achangie na sio baada ya maamuzi kutolewa.

Hata mimi nilishauri kama Dowans ni value for money tununue, lakini muda umepita tusonge mbele na kutafuta jawabu la matatizo yetu.

Kwenye serikali inayochaguliwa na watu kuna wakati lazima pia uangalie maoni ya watu. Kama wananchi hawataki kitu, kuna haja gani ya kulazimisha? Kwenye hili jambo zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania wanakataa, hata kama kimahesabu hawako sahihi, lakini inabidi kuwasikiliza.

PR ya kumsaidia LOWASA na si Dowans. Weka maneno yangu, TUTAJUTA
 
Back
Top Bottom