Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Kwa hali na tabia za akina Abuu na Chenge na Karamagi ninapinga kwa nguvu zangu zote DUAL CITIZENSHIP .Nasimama na hili na nimeshwahi kumwambia JK kwamba hatutaki DUAL .
Lunyungu hili suala sio kwa manufaa ya kina Abuu, Chenge na Karamagi- its about kila mtu anayeishi ughaibuni.