Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
- Thread starter
- #21
Anasema:
Dhamira ya kampuni ile ni kuzalisha umeme wa Megawati 1800 na hakuna kampuni hata moja kwa Tanzania itaweza.
Na anasisitiza ziangaliwe annual returns za kampuni hiyo za mwaka 2007/08 tutagundua kuwa shares zilishakuwa transfered siku nyingi.
Ameulizwa kuwa ametoa tuhuma kadhaa kwa RA na wote wawili ni wajumbe wa NEC... Haoni kama baadae itakuwa tatizo?
Kajibu: Hilo swali angeulizwa Rostam, kwakuwa yeye ndo anayefanya kuchafua wenzake na anajua siku si nyingi mambo yake (RA) yatalipuka tu.
Conference imeisha wakuu
Dhamira ya kampuni ile ni kuzalisha umeme wa Megawati 1800 na hakuna kampuni hata moja kwa Tanzania itaweza.
Na anasisitiza ziangaliwe annual returns za kampuni hiyo za mwaka 2007/08 tutagundua kuwa shares zilishakuwa transfered siku nyingi.
Ameulizwa kuwa ametoa tuhuma kadhaa kwa RA na wote wawili ni wajumbe wa NEC... Haoni kama baadae itakuwa tatizo?
Kajibu: Hilo swali angeulizwa Rostam, kwakuwa yeye ndo anayefanya kuchafua wenzake na anajua siku si nyingi mambo yake (RA) yatalipuka tu.
Conference imeisha wakuu