Mkutano wa Maoni ya Katiba Sumbawanga Utakaoendeshwa na Mh. Mbowe, Mh, Lissu, Mh. Mnyika na Mh. Mdee utafanyika kesho saa 8 mchana katika viwanja vya Shule ya Msingi Kizwite na Ndua. Mkutano huu ulitarajiwa kufanyika Leo lakini kwa taarifa zilizotufikia Utafanyika Kesho.