Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
mkuu ni kujiuzulu kwa mponda na nkya tu! mishahara na madai yao ya msingini je?
Hiyo itakuwa phase IIb. Phase IIa ni kuwaondoa hawa jamaa. Kuonesha ukuu wa madaktari.
mkuu ni kujiuzulu kwa mponda na nkya tu! mishahara na madai yao ya msingini je?
wewe ndiyo ufungiwe kwasababu hata hujui kinachoendelea hapa waterfront!
kama kikwete amezoea kucheza ngoma za ki.kwere tuone kama ataweza kuicheza ngoma ya madaktari mpaka j'tano ijayo. ..halafu dah hivi bado kuna baadhi ya madaktari wanatakiwa kuripoti polisi wakati pinda mwenyewe alisema huo utaratibu usiendelee...!
na yale mengine je?
siumeona Vimon katoweka?analea ubabaishaji tuu wajameni,i dare to say Vimon ni mpayukaji bana,hana jipya,madokta wote are happy now system in Action,na kama mtamwona Vimon tena,
Kwa ufupi madaktari wanasema hawa wakiondoka wapo tayari kuendelea na kazi nawanajua madi mengine yanaweza kushughulikiwa kwa utaratibu. Hawa sio watu wakukurupuka serikali inaonyesha kuna watu wanapotosha sana ofisi ya waziri mkuu kuna mtu ametajwa anapotosha mambo sana nitamweka jina lake hadharani nitakapopata taarifa zake vizuri.
ushauri wa bure kwa wadau kama unashida na hospitali ikifika jumatatu hata kama watakuwa kazini hapa inaonekana moyo wa kufanyakazi nhautakuwepo nashauri wale msio weza kwenda india mtafute njia mbadala hali ni tete
Nauga mkono madaktari, nashauri na manesi, wafamasia, wamaabara, mionzi woote jiungeni kwan wote mnashugulikia mgonjwa yule yule ktk mazingira yale yale selikali siyo rskivu
Nimekuwa mhanga tayari. Nilikuwa hospitali moja hapa mjini namsubiri Dr. tukaambiwa anakuja saa nane tumekaa kuanzia saa sita kufika saa nane na dkk 45 jamaa anatuma msg kwamba haji ana dharura. Kwa kuwa ni physician wa Muhimbili nikajua jamaa anaendelea na mkutano! Nimejifuta makalio naenda kumeza panadol na muarobaini nisubirie rehema za maulana!
Kwa mbali naona hili linalokuja limesukwa kwa utaalamu wa hali ya juu.. i have a strong evidence from doctors, stay tuned
Mkuu Mzalendo na MKuu Handsome ni vyema mkatoa maoni yenu bila matusi. Kajukwaa ketu haka ni kazuri kanatakiwa kaheshimiwe kwa hoja. Mkuu Mzalendo tuwe tunakumbuka kwamba JK ni Rais na Amiri Jeshi MKuu wa Majeshi yenye silaha hivyo ni vyema akaendelea kuheshimiwa hata kama humkubali. Ni hayo tu.
Nimekuwa mhanga tayari. Nilikuwa hospitali moja hapa mjini namsubiri Dr. tukaambiwa anakuja saa nane tumekaa kuanzia saa sita kufika saa nane na dkk 45 jamaa anatuma msg kwamba haji ana dharura. Kwa kuwa ni physician wa Muhimbili nikajua jamaa anaendelea na mkutano! Nimejifuta makalio naenda kumeza panadol na muarobaini nisubirie rehema za maulana!
Mkuu Mzalendo na MKuu Handsome ni vyema mkatoa maoni yenu bila matusi. Kajukwaa ketu haka ni kazuri kanatakiwa kaheshimiwe kwa hoja. Mkuu Mzalendo tuwe tunakumbuka kwamba JK ni Rais na Amiri Jeshi MKuu wa Majeshi yenye silaha hivyo ni vyema akaendelea kuheshimiwa hata kama humkubali. Ni hayo tu.