Mkutano wa madaktari NSSF Water Front

ushauri wa bure kwa wadau kama unashida na hospitali ikifika jumatatu hata kama watakuwa kazini hapa inaonekana moyo wa kufanyakazi nhautakuwepo nashauri wale msio weza kwenda india mtafute njia mbadala hali ni tete
 
ushauri wa bure kwa wadau kama unashida na hospitali ikifika jumatatu hata kama watakuwa kazini hapa inaonekana moyo wa kufanyakazi nhautakuwepo nashauri wale msio weza kwenda india mtafute njia mbadala hali ni tete


Kwa mbali naona hili linalokuja limesukwa kwa utaalamu wa hali ya juu.. i have a strong evidence from doctors, stay tuned
 
Kuna kitu kitaua solidarity kwa DR's wa ukweli,kuna mamruki wamepandikizwa ambao watakuja na hoja kuwa JK ameshasema kwenye hotuba yake kuwa tuwape mda watashugurikia madai yao,,,msipokomaaa mtatoana kafara so watch out brother and sisters(DONT GIVE UP)
usiogope mkuu ,intelectuals at work...kila kitu kitakuwa wazi mkuu ndiyo utakapojionea kuwa daktari ni mkuu wa wakuu.
 
Wadau mkutano unafugwa na madktari wanakubaliana mpaka jumatano Bwana Mponda na Lucy kama hawatakuwa wameachia nyadhifa zao pale wizara ya afya,kutakuwa na mgomo mkubwa kuliko ile iliyowahi kutokea kwenye historia ya Tanzania. Wameipa serikali muda,navyojuwa JK atafanya mzaha sasa subirini jumatano muone moto wake.
 
Nauga mkono madaktari, nashauri na manesi, wafamasia, wamaabara, mionzi woote jiungeni kwan wote mnashugulikia mgonjwa yule yule ktk mazingira yale yale selikali siyo rskivu
 
Wadau mkutano unafugwa na madktari wanakubaliana mpaka jumatano Bwana Mponda na Lucy kama hawatakuwa wameachia nyadhifa zao pale wizara ya afya,kutakuwa na mgomo mkubwa kuliko ile iliyowahi kutokea kwenye historia ya Tanzania. Wameipa serikali muda,navyojuwa JK atafanya mzaha sasa subirini jumatano muone moto wake.

Na sisi Walalahoi tufanyeni mgomo wa kum'goa Fisadi Papa na genge lake la wahuni la Magogoni
 
mzalendo epuka kuropoka,uajua maana ya fisadi papa,think twice,u are provokng for whom benefit????umetumwa,Nyau wee,ref.Misri,Libya was it an easly Taskieee??with absence of NATO milion kuld die yet wangekuwa on power,do u kow relationship kati ya TZ na USA??Europian Union?Far East?acha upororo wewe
 
Wadau mkutano unafugwa na madktari wanakubaliana mpaka jumatano Bwana Mponda na Lucy kama hawatakuwa wameachia nyadhifa zao pale wizara ya afya,kutakuwa na mgomo mkubwa kuliko ile iliyowahi kutokea kwenye historia ya Tanzania. Wameipa serikali muda,navyojuwa JK atafanya mzaha sasa subirini jumatano muone moto wake.

Mkuu kwa hiyo kwa maana nyingine, hata kujadili yale mengine imeshindikana mpaka hili litendeke kwanza?
 
wadau mkutano unafugwa na madktari wanakubaliana mpaka jumatano bwana mponda na lucy kama hawatakuwa wameachia nyadhifa zao pale wizara ya afya,kutakuwa na mgomo mkubwa kuliko ile iliyowahi kutokea kwenye historia ya tanzania. Wameipa serikali muda,navyojuwa jk atafanya mzaha sasa subirini jumatano muone moto wake.

tuko pamoja!
 
mzalendo epuka kuropoka,uajua maana ya fisadi papa,think twice,u are provokng for whom benefit????umetumwa,Nyau wee,ref.Misri,Libya was it an easly Taskieee??with absence of NATO milion kuld die yet wangekuwa on power,do u kow relationship kati ya TZ na USA??Europian Union?Far East?acha upororo wewe

Ukipigizana kelele ma mwendawazimu mwisho wake na wewe unaonekana mwendawazi, ndio maana watu wote wameku-ignore kwa upumbavu wako. Lem ignore you akili zako hazina tofauti na Kikwete au Pinda
 
Jumatano!!! Serikali makini haiwezi kusubiri matukio, naamini makubaliano yaliyofikiwa mapema yatatekelezwa kulingana na muda waliopeana.
Kesi ya wanharakati, Kenyela amka!
 
Hivi Mponda na Nnkya wanasubiri nini kujiuzulu? Kikwete anasubiri nini kuwatimua? Wanasubiri wafe Watanzania wangapi ndipo wachukue hatua?
 
Hivi Mponda na Nnkya wanasubiri nini kujiuzulu? Kikwete anasubiri nini kuwatimua? Wanasubiri wafe Watanzania wangapi ndipo wachukue hatua?
swali lingekua hivi JK anasubiri nini kuwaondoa??
 
kama ulikuwa na nia njema ya kutuhabarisha ungetuhabarisha sasa wewe tangu mwanzo umeshaonesha nia ya kutubania sasa unachangia nini si ukae kimyaaaaa!
 
Wadau mkutano unafugwa na madktari wanakubaliana mpaka jumatano Bwana Mponda na Lucy kama hawatakuwa wameachia nyadhifa zao pale wizara ya afya,kutakuwa na mgomo mkubwa kuliko ile iliyowahi kutokea kwenye historia ya Tanzania. Wameipa serikali muda,navyojuwa JK atafanya mzaha sasa subirini jumatano muone moto wake.

na yale mengine je?
 
Back
Top Bottom