Mkutano wa kukusanya maoni ya mswaada wa katiba Mbeya

mwankuga

JF-Expert Member
Aug 30, 2010
334
120
Wadau napenda kuwatangazia wakazi wa Mbeya na vitongoji vyake kuwa kesho tarehe 13/04/2011 kutakuwa na mkutano wa kukusanya maoni kuhusu mswada wa kubadilisha katiba,utafanyika katika ukumbi wa Mkapa kuanzia saa 4:00 asubuhi.Wote mnakaribishwa bila kujali itikadi zenu.Asanteni.
 
Wadau napenda kuwatangazia wakazi wa Mbeya na vitongoji vyake kuwa kesho tarehe 13/04/2011 kutakuwa na mkutano wa kukusanya maoni kuhusu mswada wa kubadilisha katiba,utafanyika katika ukumbi wa Mkapa kuanzia saa 4:00 asubuhi.Wote mnakaribishwa bila kujali itikadi zenu.Asanteni.
Asante kwa Taarifa
Twaja
 
Good bora muanze kutafuta maoni mapema kwa wananchi, ndio mtajua mapema kuwa huko ni kupoteza muda kumbe hayo maoni sijui madai/matakwa ya wananchi yapo tayari kwenye katiba ya sasa. Mtajikuta mnapewa madai mengi tu ambayo yapo kwenye katiba ya sasa isipokuwa hayaheshimiwi.

May be after that ndio mtaelewa tatizo lilipo kwenye katiba ya sasa ni juu kwenye governance and accountability (balance and checks) kuliko chini kwenye haki za raia (hivyo vitu vipo hila havieshimiwi). Matatizo mengine ya msingi ni sheria kutofanya kazi, nguvu za baadhi za taasissi/vyombo ya seriakali na baadhi ya viongozi (particularly raisi), CCM bado kinaongoza kama nchi ya chama kimoja with excessive powers of the ruling part (kwanini wavunje bunge kwa mantiki ya chama wao ni nani).

Ndipo mtaelewa hii tena sio shughuli ya mashee, mapadri wala wananchi ni mchezo wa maloya wanaotambua good governance na katiba inayoleta usawa katika vyama vingi, social science scholars kuweza kubalance mahitaji ya wote kwenye nchi yenye jamii yenye muono tofauti.

By the way party policies on economic programmes and social welfare are not covered in the constitution that is based on national income and party programmes. Maana naona kuna baadhi mmen'gang'ana as if money grows from the tree.

Something tells me a majority of us are very slow people.
 
Nimependa hii demonstration ya wazenji. Ingefanyika bara wangesema ni CDM

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom