edwin abdallah
Member
- Jan 14, 2012
- 13
- 1
Ni kazi ngumu mno kwa ccm kwani magamba yao yameshindikana kuvulika na kinachofuata ni kutoga masikio tu kama mashoga wa USA. So ukimuchagua mtu kama siyoi kurithi jimbo ni kurudi enzi, basi tuanzishe utawala wa kimira ili twende sawa. Si tu kwa mkutano wa Arumeru hata ukiona kwenye ziara za viongozi wao ni wanafunzi tu wa sec. na shule za msingi ndo hulazimishwa kuhudhuria mihadhara yao so kwa arumeru ni matokeo yaleyale...Na kazi yao kubwa ni matusi na vijembe ebu ushuhudie ufunguzi wao kutoka kwa Raisi eti msitafu bwana Ben na mzee wao wa miaka stev. Wasila ni Wazee wazima lakini wana akili na mawazo mfu kwa kupenda kutukana na kuingilia familia za watu badala ya kunadi sera. Wanashangaza sana hao wazee. Ebu wafundisheni adabu hao wazee.La sivyo watazidi kupoteza wanachama.