Mkutano wa hadhara seif sharif hamad.

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
Jumuiya ya Wazanzibar waishio Uingereza (ZAWA) ina furaha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF Taifa, Maalim SEIF SHARIF HAMAD.

Wazanzibari na Watanzania wote waliopo UK na nchi za jirani wanakaribishwa kuhudhuria. Huu ni mkutano wa kwanza na wa kihistoria kufanyika hapa London baada ya maridhiano ya kuleta umoja miongoni mwa Wazanzibar.

SIKU: Jumamosi, tarehe 13/02/2010

WAKATI: Saa 7.30 mchana (1.30 PM)

PAHALA: Durning Hall (Nyuma ya Mangala Solicitor)
Earlham Grove,
Forest Gate, London
E7 9AB

Tel. 02085363800 (kupata maelezo ya mahala)

USAFIRI: Bus: 25, 86, 58 na Train: British rail (Forest Gate Station)
 
Back
Top Bottom