Mkutano wa FOCAC(China Afrika Cooperative Forum) kufanyika, China itatangaza misaada mipya kwa Afrik

khamisi

New Member
Jul 15, 2012
1
0
mkutano wa 5 wa mawaziri wa baraza la ushirikiano wa China na Afrika utafanyika Beijing alhamisi na ijumaa, ambapo rais wa China atatangaza hatua mpya za misaada kwa nchi za Afrika.
hapo awali makamu wa rais wa China Bw. Xi amesema ni lazima kuwawezesha wananchi wa kawaida wa China na Afrika wanufaike na uhusiano huo.
 
Back
Top Bottom