Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,154
Wakuu kesho Dr W Slaa atakuwa na mikutano miwili jijini Arusha.Mkutano wa kwanza utaanza saa nne asubuhi Mbauda sokoni na mwingine utafanyika saa tisa Kijenge.
Dr W Slaa ataambatana na makamanda wafuatao Mabere Marando,Mzee Ndesamburo,F Mbowe na mgombea ubunge Arusha mjini Bwana G Lema.
Tafadhali sana tuhudhuria mkutano wa Dr W Slaa.
Angalizo hakutakuwa na magari ya kusomba watu kama ilivyokuwa mkutano wa jana wa CCM.
Dr W Slaa ataambatana na makamanda wafuatao Mabere Marando,Mzee Ndesamburo,F Mbowe na mgombea ubunge Arusha mjini Bwana G Lema.
Tafadhali sana tuhudhuria mkutano wa Dr W Slaa.
Angalizo hakutakuwa na magari ya kusomba watu kama ilivyokuwa mkutano wa jana wa CCM.