Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Nipo live ktk mkutano hapa,mc anasema wapo wazee wa kimila Wa kimasai toka Monduli/Kiteto/Manyara watakuja Leo ktk mkutano huu.Watu ni wengi na wanaendelea kuja kadiri muda unavyozidi kwenda.Katika pita pita Yangu sijabahatika kuwaona wazee Wa intelijensia(police),hata hapa maeneo wanayozoea kukaa(CRDB bank)sijawaona labda Kama wamebadili maeneo..Mkutano mpaka sasa hivi haujaanza rasmi,mpaka sasa hivi amani imetawala.