simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Wapendwa ule Mkutano uliotangazwa kufanywa na mwenyekiti wa BAVICHA Taifa pale Stand ya Mabasi Same leo 10/05/2012 ulizuiliwa na jeshi la polisi kwa madai kwamba taarifa haikufika kabla ya masaa 48. Hivyo utafanyika siku ya Ijumaa tar 11/05/2012 palepale standa ya mabasi Same. Wakati tukiwa tunashangazwa na kizuizi hicho. Niwakumbushe Siku J.k alipo tangaza baraza lake jipya la mawaziri, na siku iliyofuata vijana wa CCM Vyuo Vikuu Dar Es Salam wakafanya maandamano ya kumpongeza na kutaka wahusika wa ufisadi uliofichuliwa na CAG Wapelekwe mahakamani. Hivi taarifa ilifika Polisi masaa mangapi? mbona hawakuzuia yale maandamano? Tunajua utaratibu lakini hakuna usawa