Leo eneo la vijibweni linalopita dalaja Isaya Charles aligombea nafasi ya udiwani lkn kura hazikutosha hata hivyo inasemekana alichakachuliwa mgeni rasimi ni George kutoka makao makuu ya chadema.ulikuwa mkutano wa kuwashukuru wananchi na kuwaeleza haki inapiganiwa wasisubiri watapeliwe na magamba, wametuma ujumbe kwa mh. Ndungulile MB aache uwoga alianza vizuri kwa kusema ukweli bungeni wakamwita na kumtisha hadi leo anaogopa kuitisha mkutano na wananchi alitolewa nje Dodoma siku 3 akawa shujaa sasa kaufyata AACHE UWOGA. Katishwa na vigogo wa ufisadi anapoteza ujasili anakaribishwa CDM. Picha za eneo la mkutano.