JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 526
- 583
h
Diwani wa kata hii kupitia Cdm anaelezea baadhi ya mambo anayoyafanya ili kuleta maendeleo ktk kata hii, CCM imekua ikiwaonea madiwani wa chadema ,huku mstahiki Meya wa Bukoba mjini akifanya maamuzi ya kuwagandamiza madiwani wa chadema. Mh. Diwani anawaomba wananchi wa kata ya Rwami kuhudhuria vikao vya madiwani ili kujionea vioja hvyo. Wageni waalikwa ni Mbunge vti maalum Mama Conchesta, Katibu wa wilaya Victor Shelegei , waheshimiwa Madiwani, wenyevti wa mitaa na viongozi wengine wa CDM.
Hata Ukonga wamefanya hivyo hivyo muda mfupi uliopita.Kwa hali isiyo ya kawaida, wakati mh. Mzungumzaji mkuu Mama Conchesta akijianda kuongea Tanesco wamekata umeme na mkutano kusimama kwa mda, lkn sasa umerudi na makamanda wanaendelea kuporomosha sera. Nawasilisha
Mambo mengine wananchi huwa wanapenda kuongopewa. Kwani hiyo rami inakaa chumbani kwa huyo kagasheki? Inahitaji elimu kiasi gani kuitambua barabara iliyojengwa kwa rami. Au neno rami ni neno la kilugha ambalo mimi sielewi maana yake.Naona Mh. Victor Shelejei katibu wa CDM wilaya, anaeleza uongo ulienezwa na CCM kupitia redio yao kua Mbunge kagasheki kajenga rami sokoni wakati rami hyo haijaonekana. Makamanda wengine waliopo mkutanoni nisaidieni kutupia picha.
Huo wa bukoba utaletewa picha. Kwa kuwa uko Dar si mbaya ukaenda kwenye ule wa Ukonga utapata picha laivu.Weka picha mkuu, mkutano mwisho saa ngapi?
Wakumbusheni wale ambao hawajajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura wafanye hivyo muda utakapofika, hali kadhalika wale ambao wanahitaji kurekebisha taarifa zao nao wafanye hivyo pindi muda utakapofika. Wakifanya hivyo tutakuwa na uhakika wa kura zao.Watu ni wengi mno na kwa kua mkutano unafanyika karibu na barabara kuu iendayo Uganda magari yanashwa kupita kwani watu wamejaa hadi barabarani. Lakini wananchi ni watulivu na wanajitahdi kuruhus magari kupita japo kwa shida. Sitoweza kutupia picha kwa kua naumia cmu.
Weka picha mkuu, mkutano mwisho saa ngapi?
Weka picha mkuu, mkutano mwisho saa ngapi?
Mkuu, utupiamo na picha!?