Mr.kibulala
Member
- Nov 8, 2011
- 58
- 20
Jamani chadema,njooni wilaya ya misenyi jimbo hli liko huru na mikakati ni mapema
Dah! Kumbe suala la Zitto na sahihi ilikuwa Mkakati wa CDM na Zitto alipewa jukumu kuongoza Kamati. Lwakatare anabainisha. Lengo ilikuwa ni kuwaumbua wabunge wa ccm wanaodandia hoja za CDM...wanataka Wananchi wawajue kuwa ni wanafiki.
Vanilla umetia vanilla bana mbona mimi sijaskia hivyo wakati nipo hapa mkutanoni.
Vanilla ni pm maeneo gani ya Bk naweza pata menu nzuri ya jioni kabla sijaondoka hapa Bk.
tupia tupia picha basi kama unaponunua mishikaki huwa wanatupia na vichips kwa mbalii
sasa hivi anaongea diwani wa cuf - rwamishenye- dismus