Ukombozi upi wa wachaga au? Lema hajitambui anaongea nonsense..
Kwa picha pitia hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/329006-picha-mkutano-wa-chadema-wa-arusha.htmlEbu tupieni picha za kutosha basi
Hamkosi kwenye kundi la welevu!!!Ukombozi upi wa wachaga au? Lema hajitambui anaongea nonsense..
Na hii ndiyo peoples power
Ukombozi upi wa wachaga au? Lema hajitambui anaongea nonsense..
usilitaje bure jina la mke wa mtu
Cdm mbona mkiwa peke yenu mnaongea maneno mengi kama kweli nyie wanaume ingieni barabarani ili mpambane na polisi.
Kwanza hii picha ni fake..Huyu ni kamanda watu raisi wetu mtarajiwa.
Wala hujakosea copyright na Julius Nyerere pia.Nilichokiona leo pale kwenye mkutano ni ukombozi uliotukuka.
Godbless lema hana tofauti na julius malema
Ni lazima utakuwa na chuki dhidi ya wachaga. Hii ndiyo kawaida ya watu wa chama chenu. Kwani wachaga wamekufanya nini? Au hawana haki ya kushiriki kwenye siasa za Tanzania?Ukombozi upi wa wachaga au? Lema hajitambui anaongea nonsense..