white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,307
- 13,269
leo chama cha mapinduzi wapo mpanda,wakiongozwa na nape nauye,pamoja na kusomba watu na maroli toka vijijini,watu ni wachache sana!wanamwambia mc,aongeze sauti watu wasikie huko majumbani mwao ili watu waje,kwani inaonekana hawajasikia! source.mimi mwenyewe nipo eneo la tukio.