Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,123
Utwa lilino malafyale. Umenukuu kitu nusu sina maana angalia majibizano yalikuwaje tokea mwanzo. For it adds nothing, for you seems not read to take the cralifications stay on what you believe and make a critical assessment on what do you achieve by so believing. I though, umhimu wa jamvi ni kufafanua mambo kwa ukweli na mwenye ukweli atoe kumbe yaleyale.
Ndipo kikolo Mwigulu@Libel and nd slander laws zitakulinda kwenye kesi kama hii hasa kama hujatenda tuhuma hizi.Nakushauri ili kulinda heshima yako kwa nn usiende mahakamani kuyashtaki magazeti yaliyokuandika kuwa ULIZINI IGUNGA na wakati mwenyewe unasema hujafanya hivyo kwa sababu ww ni mme tena mwenye bahati ya kuwa na watoto 2?
Inaniwia vigumu kujua kwa nn viongozi wa CCM huwa wanasema tu Dr Slaa ni muongo hata kama katupasha habari nzito sana juu yao lkn katu huwa hamuendi mahakamani kumshtaki ?[REF:Orodha ya mafisadi Mwembeyanga na tuhuma kuwa Ridhiwan Kiwete ni bilionea akitumia mgongo wa baba yake kujilimbikizia mali,na tuhuma kuwa Mwigulu alizini Igunga]
Mwigulu nijibu tafadhali;kwa nn Dr Slaa akiwaambia wazi tuhuma nzito kama hizi hamuendi mahakamani?