Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
ccm matusi ndiyo walichobakiza na fitina zisizo na maana
na wizi wa aina zote ikiwemo kura
ccm matusi ndiyo walichobakiza na fitina zisizo na maana
Kirilorigin well said jamaa ameboa mbaya hata hao waliogawiwa vitambaa wamechukizwa wamejuta kupoteza muda wao kuja kushuudia matusi kutoka kwa mb na mtunza fedha wa chama.
Mkuu kesho makamanda wapo tindigani hapana kosa
Mkuu, heshima kwako. Majibu haya hayaoneshi hata chembe kwamba yametolewa na graduate wa chuo kikuu cha D'salaam tena wa masters degree. Haya ni majibu ya akina mama wapika vitumbua waliobanwa na maisha magumu yaliyosababishwa na serikali mbovu ya chama chako CCM. Kwani uzinzi wako wewe utawanufaishaje wapiga kura wa Arumeru mashariki?kiongozi wa elimu yako anatakiwa atoe uchambuzi wa matatizo ya wananchi halafu atoe njia ya kuondokana nayo sio hizi pumba ulizozitoa hapa. Shukuru tu kuwa mtandao wa JK unakubeba, la si hivyo hufai kwa lolote labda huo uzinzi unaojivunia.Kuna kata 17 Arumeru hakuna kata inaitwa KATA YA TINDIGANI. MIMI SIJASEMA NAMCHUKIA NIMESEMA NAMDHARAU. MIAKA 69 ANA MCHUMBA NA AMEZAA NAE HALAFU ANASEMA MWIGULU MZINZI. YULE ALIYEZAA NAYE AMFUNGA NAE NDOA? AFANYAE MAPENZI NA MWANAMKE AMBAYE HAJAFUNGA NAE NDOA ANAFANYA UZINZI.
Ndo ninavyosikia huwa ukiuwa mtu lazima kuropoka kabla ya kupoteza maisha kwahiyo kama kafikia stage ya kuropoka atapotea muda si mrefu
Wewe mchovu, twambie chama chako kinafanya nini kuondoa au kupunguza mfumko wa bei, haya ya kitandani hayatusaidii wa Tanzania, we vipi?Mimi sihalalishi hayo. Unasema amesema lini jibu amesema king'ori pia maji ya chai na kwingineko. Sasa mwenye mke au girlfriend wake ambaye anaushahidi kuwa aliwahi kuniona naye ataje jina na eneo aliponikuta tuache uzushi na chuki za siasa. Mimi nina mke wa ndoa na watoto wawili angalia slaa ana mchumba amezaa nae na alikuwa mkee wa mtu. Hapo kweli unayejibu kama network iko sawa unaona slaa ni wakupanda jukwan na kusema mwigulu mzinzi. Mseme slaa kwa hilo bibilia haibadiliki afanyae mapenzi na mwanamke ambaye hajafunga nae ndoa ANAFANYA UZINZI NA AZINIE NA MWANAMKE NI NJINGA KABISA. SASA HUYO MZEE KILA SIKU ANAZINI.
Kuna kata 17 Arumeru hakuna kata inaitwa KATA YA TINDIGANI. MIMI SIJASEMA NAMCHUKIA NIMESEMA NAMDHARAU. MIAKA 69 ANA MCHUMBA NA AMEZAA NAE HALAFU ANASEMA MWIGULU MZINZI. YULE ALIYEZAA NAYE AMFUNGA NAE NDOA? AFANYAE MAPENZI NA MWANAMKE AMBAYE HAJAFUNGA NAE NDOA ANAFANYA UZINZI.
Kuna kata 17 Arumeru hakuna kata inaitwa KATA YA TINDIGANI. MIMI SIJASEMA NAMCHUKIA NIMESEMA NAMDHARAU. MIAKA 69 ANA MCHUMBA NA AMEZAA NAE HALAFU ANASEMA MWIGULU MZINZI. YULE ALIYEZAA NAYE AMFUNGA NAE NDOA? AFANYAE MAPENZI NA MWANAMKE AMBAYE HAJAFUNGA NAE NDOA ANAFANYA UZINZI.
Bora hata ungeficha jina lako kama wabunge wenzio wasio na busara wanavyofanya! Ukitumia jina lako halisi unatakiwa ujibu hoja kama uliyeenda shule na sio huu utoto unaouonesha hapa! mtu mzima hovyooooooo!!!!!!!Wewe hufai hata kuwa mwanafunzi wangu nawe unasema. Bangi kitu kibaya sana. Lete ajenda tukate issues uone. Mtoto wa primary hawezi kusahihisha mitihani ya chuo kikuu. Kuna swali gani hapo linahitaji majibu ya chuo. Nani amekwambia nagombea ubunge arumeru.
Wewe hufai hata kuwa mwanafunzi wangu nawe unasema. Bangi kitu kibaya sana. Lete ajenda tukate issues uone. Mtoto wa primary hawezi kusahihisha mitihani ya chuo kikuu. Kuna swali gani hapo linahitaji majibu ya chuo. Nani amekwambia nagombea ubunge arumeru.
Mimi nina mke wa ndoa na watoto wawili[/B] . Mseme slaa kwa hilo bibilia haibadiliki afanyae mapenzi na mwanamke ambaye hajafunga nae ndoa ANAFANYA UZINZI NA AZINIE NA MWANAMKE NI NJINGA KABISA. SASA HUYO MZEE KILA SIKU ANAZINI.
Ndg yangu unatumia gazeti la tanzania daima kama ushahidi. Huo uzushi kumbe sio kosa lako bali ni chanzo cha habari. I say and re say that was politics nothing like that happened ingekuwa vyema mtu aseme aliyeona hata mazingira mbona wakuu mnaamini sana hisia ila hamtaki kuamin kuwa slaa anazini na mtoto toka kwa mke wa mtu mmemwona. Hivi kwa akili zenu ningetaka kufanya hivyo hivi kweli ningefanya jukwan kweli.
Topical, tangu mumewauza wale watoto wa kiislam pale Ndanda sijasikia mnampango gani wa kuwasidia ingalau wafanye mitihani mwakani kama watahiniwa wa kujitegemea, au ule mpango wa kuwapeleka madrasa Pakstani ndio umeiva?Slaa anazini kwa mujibu wa sheria za nchi..
Anatakiwa adharauliwe na kupuuzwa...sijui utaiga nini kutoka kwake..lol..
Kanisani (muasi), uraiani (wake za watu), chamani ubabe na ubinafsi..
Utwa lilino malafyale. Umenukuu kitu nusu sina maana angalia majibizano yalikuwaje tokea mwanzo. For it adds nothing, for you seems not read to take the cralifications stay on what you believe and make a critical assessment on what do you achieve by so believing. I though, umhimu wa jamvi ni kufafanua mambo kwa ukweli na mwenye ukweli atoe kumbe yaleyale.