Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Kuna kata 17 Arumeru hakuna kata inaitwa KATA YA TINDIGANI. MIMI SIJASEMA NAMCHUKIA NIMESEMA NAMDHARAU. MIAKA 69 ANA MCHUMBA NA AMEZAA NAE HALAFU ANASEMA MWIGULU MZINZI. YULE ALIYEZAA NAYE AMFUNGA NAE NDOA? AFANYAE MAPENZI NA MWANAMKE AMBAYE HAJAFUNGA NAE NDOA ANAFANYA UZINZI.
HII lugha unayotumia si ya mbungeni.
Wanyeremba wanategemea wambulu (Iraqw) kupata kibarua, ili kuendesha maisha yao.
CCM ina washabiki wengi Iramba lakini hali ya wanyeramba ni mbaya.
Halafu unakuja na lugha chafu kwa wenye heshima kama Dr Slaa.
Huna heshima, usiwadalilishe unaowaongoza.