KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
kama kawaida ya kampeni za CCM kutawaliwa na matusi bila sera yakiongozwa na Mwigulu eti anasema kama akiulizwa hapa duniani ataje mtu mmoja anayemchukia basi ni Dr.Slaa, akiendelea kudai eti CHADEMA wamefulia sababu kikwete amekataa ushoga. Wanatembea na waraka wanaodai ni wa CHADEMA kukiri kushindwa chakustajabisha mgombea wao Siyoi kapewa 10dk kuongea.
katika huo mkutano wengi walikuwa CHADEMA na kikundi kidogo cha wana-CCM waliogawiwa vitambaa ili washangilie kwa ujumla wananchi wamesikitishwa na matusi yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa ccm.
Mytake:
katika huo mkutano wengi walikuwa CHADEMA na kikundi kidogo cha wana-CCM waliogawiwa vitambaa ili washangilie kwa ujumla wananchi wamesikitishwa na matusi yaliyokuwa yakitolewa na viongozi wa ccm.
Mytake:
CCM kwisheni wameishiwa sera wamebaki na matusi tu.