Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
nape ni mkiristo. wao dini 1 halafu ndio taifa. nasikia amesema NECTA italindwa na itaendelea kuwakandamiza waislam. huyu ndio nape
Hii ni hatari sana kwa chama Tawala kudharau Dhehebu kubwa hapa Duniani kama Waislam
Na hata wengine wana majina ya kiislam wanaenda misikitin lkn wanajisumbua tu bado siyo waislam!
Wewe umesikia nini mwanafunzi? wewe unatumia king'amuzi cha wapi? ina maana sisi wote unatuona twafanana na wewe? rudi darasani kwani unapoteza muda hapa utafeli bure.Kwa nini mnapenda kulisha watu maneno, au ving'amuzi vya TV zenu vinatafsiri toka Kiswahili kwenda Kichina? Na mbona mnatooa maneno mpaka yanabadili muktadha na maana yake halisi? Nape ana madhaifu yake, lkn haifai na wala si tiketi ya kumlisha ambayo hakusema.
Wewe mama Vipi? yeye atukane waislam halafu tunyamaze kimya? hujui Nape kama kioo cha jamii? hii ni hatari sanaKwa nini mnapenda kulisha watu maneno, au ving'amuzi vya TV zenu vinatafsiri toka Kiswahili kwenda Kichina? Na mbona mnatooa maneno mpaka yanabadili muktadha na maana yake halisi? Nape ana madhaifu yake, lkn haifai na wala si tiketi ya kumlisha ambayo hakusema.
Hii ni hatari sana kwa chama Tawala kudharau Dhehebu kubwa hapa Duniani kama Waislam
nape hujui kama ni mkiristo? wakiristo wote ni lao moja. angalia hapa JF tu
hATA jk Hakuwaita waislam majambazi. NAPE anajazba,uamsho ni jumuia iliosajiliwa Kihalali na kuingozwa kama wanvyoongoza mapadri. NAPE amewatukana waislam.nasikia amedai Hata walipinga necta jana ni wahuni. CCM CCM CCM CCM OYEEEJF imeingiliwa na wehu!Tatizo watu wengine mna aklili kama za Mbuzi,how come mtu huja verify statement iliyotolewa unaaanza kupandisha Jazba kama vile umetiwa ndimu sikioni?