Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Nape!kakosea sana,inabidi afute kauli vinginevyo ashitakiwe upi ni ujambazi wa UAMSHO?
Vipi mkuu unazungumziaje kauli ya Nape dhidi ya waislam?
Nape ni mkiristo,
unadhani atatumikia nini kama sio kanisa lake? Huoni msalaba mkubwa
shingoni. M,bona hasemi necta?
Nasikia amewashukia wanaipinga necta hapo jangwani.anasema atailinda kwa nguvu zote . Ametupia lawama uamsho
Mambo Kama hayo sio mazurinape ajiangalie, mambo kama haya yanaweza yakam cost
Inabidi kwanza na mimi niisikie kabla sijacomment, ila kama kasema hivyo its too bad.
Hayo mambo hebu yaacheni msituletee udini hapaLazima tumjadili Nape anadharau Waislam mbona Chadema hawakusema lolote Kuhusu Uamsho ni kwasababu wanajua ni kikundi cha Kuabudu mungu lakini kumbe CCM inawaona ni Majambazi?
ni kitu gani kilichokufanya ukafikiria uislam na ukristo?kwa mpagani hafai kuwa kiongozi?je angetamka kingunge hivyo mngesema ni dini gani?
Umeingia Siasa Jana!!! Haujui Historia ya Wanasiasa wetu; Ungeuliza kabla ya kuposti...
Watanganyika Sio lazima wewe na Majina ya Kikristo au Kiuslamu; Na Nape ni Muislamu hauoni Picha Zake?
nape nasikia kasema Atailinda NECTA kwa nguvu zote. Atahahakisha ndalichako analindwa ili kanisa liendelee. huyu ndio NAPE
Mh!.........
Ndio tamko hilo waliosema watalitoa?