Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
...wakati mkutano mkuu wa ccm unaanza leo kauli mbiu ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YANAWEZEKANA imebadilishwa na sasa mabango yanasomeka MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YATAKUJA KWA KUJITUMA NA KUFANYA KAZI!! ..yetu macho...
tunautakia fanaka na mafanikio mkutano mkuu wa CCM...WAJUMBE watuletee viongozi waadilifu wasiotokana na na rushwa.."KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA WAADILIFU WASIOTOKANA NA RUSHWA NA UFISADI INAWEZEKANA..."
tunautakia fanaka na mafanikio mkutano mkuu wa CCM...WAJUMBE watuletee viongozi waadilifu wasiotokana na na rushwa.."KUCHAGUA VIONGOZI BORA NA WAADILIFU WASIOTOKANA NA RUSHWA NA UFISADI INAWEZEKANA..."