S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Yebo yebo umekuwa katibu mwenezi wa ccm reading? Usitusahau kwa fulana na kofia.
Duuh!! kuna kazi kubwa.hata Dodoma hamjafika ndugu zangu moto unawaka tayari.Katibu Mwenezi yupo Mkuu, wenyewe wakisikia unawanyanganya vyeo vyao utakosa fulana na kofia..!!
Kwa wale Wana CCM wa wapenda mageuzi wote nimeikuta hii kwenye tovuti ya Tawi nikaona niwaletee hapa, mpate taarifa.
Mods, natumai hapa hii ni mahali pake; kwenye siasa.
View attachment 5331
Hapa ni mahala pake mkuu, sema jukwaa la Siasa si mahala pake kwakuwa ni tangazo.Hapa sio mahala pake, CCM na JF wapi na wapi??? Mods close this Thread.
Mkuu halafu kwanini hamna official email ya chama mpaka mtumie gmail
Hapa ni mahala pake mkuu, sema jukwaa la Siasa si mahala pake kwakuwa ni tangazo.
Kwani JF na CHADEMA au CUF wapi na wapi?
Mabadiliko ya kweli yanatokana na watu na si vyama, wana CCM hawa labda wanaweza kuleta mabadiliko (who knows?)!
Safi sana Tawi la Uingereza, kwa kuitisha Mkutano huo..!
Huu ni mkutano mkuu wa tawi, hivyo lazima utakuwa na ajenda kadhaa, aidha ni nafasi nyingine ya kupata wanachama wapya...ili kuendelea kuimalisha tawi hilo...Hata kama ni mkutano wa kunywa kahawa? unapongeza nini sasa hapo kijana?
Huu ni mkutano mkuu wa tawi, hivyo lazima utakuwa na ajenda kadhaa, aidha ni nafasi nyingine ya kupata wanachama wapya...ili kuendelea kuimalisha tawi hilo...Nawatakia kila la heri katika mkutano huo...